• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Ujenzi na Miundombinu

Halmashauri ya Jiji yetu imeunganishwa kwa barabara za lami pande zote (Tanga – Muheza, Segera, Korogwe. Tanga – Mkinga, Horohoro (Tanga,Tanzania-Mombasa, Kenya boarder) kasoro barabara ya Pangani-Tanga, ambayo mpango wa ujenzi wake uko kwenye maandalizi.

Halmashauri ya Jiji ina mtandao wa barabara unaokadiriwa kufikia km. 1256.1 asilimia 81.6 % ya hizo yaani km. 1024.6 ndizo zinazohudumiwa na Halmashauri ya Jiji kwa sasa, zilizosalia zinasimamiwa na Wakala wa Barabara nchini (TANROADS).

Mtandao wa barabara 

TANROADS
Halmashauri ya Halmashauri ya Jiji
Jumla 
Lami
Changarawe
Udongo
Jumla
Lami
Changarawe
Udongo
Jumla
55.86
31.11
144.5
231.50
106.4
217.6
700.6
1024.6

1,256.1

 

Mradi Wa Tanzania Strategic Cities Project (TSCP)

 

Halmashauri ya Jiji la Tanga ni miongoni mwa Miji saba (7) inayotekeleza mradi wa uendelezaji Miji Mkakati (Tanzania Strategic Cities Project – TSCP). Halmashauri kupitia mradi huu imefanikiwa kukamilisha miradi ifuatayo ya miundombinu:

Ujenzi /ukarabati wa barabara za Jiji kufikia kiwango cha lami kilomita 15.3 na taa za barabarani

Ujenzi wa mifereji mikubwa ya maji ya mvua kilomita 5.6 ambayo imewezesha kupunguza tatizo la mafuriko katika Kata za Mabawa, Magaoni na Duga.

Ujenzi wa kituo kipya cha Mabasi na eneo la kuengesha Malori

Ununuzi wa vifaa kwa ajili ya usafi wa mji

Vilevile Halmashauri ya Jiji la Tanga imekamilisha utekelezaji wa miradi ya nyongeza (TSCP – Additional Financing) ya ujenzi wa miundombinu kwa gharama ya   Tshs. 9,536,012,640/= ikihusisha:

Ujenzi /ukarabati wa barabara za Jiji kufikia kiwango cha Lami na uwekaji wa taa za barabarani za mfumo wa jua(solar street light) Kilomita 5.03.

Ujenzi wa mifereji midogo ya maji ya mvua Kilomita 3.44 umekamilika katika Kata za Magaoni na Maweni ili kuendeleza jitihada za kuondoa mafuriko kwenye makazi ya wananchi.

Ujenzi wa maabara ya udongo na uwekaji wa vifaa vyake.

Ujenzi wa matenki ya kuhifadhia maji katika stendi ya mabasi na malori

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.