• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Ardhi na Maliasili

Tangu 2010-2016 Halmashauri ya Jiji imetoa jumla ya hati miliki 2,897, na viwanja vipya 3,037 vimepimwa kwenye maeneo ya (Mwang’ombe viwanja 279, Usagara kijijini viwanja 128 na Pongwe 1,765, na Machui 865).

Aidha, maeneo ya Mwamboni, Masiwani Shamba, Jaje, Mwakizaro, Mwanzange  na Mwakidila yamefanyiwa maboresho.

Kati ya migogoro 68 ya ardhi iliyopokelewa 58 imetatuliwa na iliyobaki 10 iko kwenye hatua mbali mbali za utatuzi. Pia kuna migogoro mingine iliundiwa tume na mkoa na mapendekezo mbalimbali ya tume hiyo yameanza kushughulikiwa.

 

Mpango Kabambe wa Halmashauri ya Jiji

Halmashauri imeanda Mpango Kabambe (Master Plan) wa miaka 20 (kutoka 2015 – 2035). Mpango huo umejielekeza katika kuhakikisha kuwa eneo lote la Halmashauri ya Jiji la Tanga linakuwa/linapanuka kwa kuzingatia maendeleo ya ardhi umeandaliwa ili kuhakikisha kuwa ardhi inatumika vizuri ili kuondoa muingiliano usio wa lazima kwa matumizi mbalimbali ya ardhi.

Mpango uliwasilishwa kwanza Sekretarieti ya Mkoa na baadae uliwasilishwa Wizarani kwa hatua zaidi kama sheria namba 8 ya Mipango Miji ya mwaka 2007 inavyoelekeza kupitishwa sehemu hizo kabla haujaanza kutumika.

Mafanikio;

Halmashauri imeongeza uwezo wa kuandaa hatimiliki kwa waombaji/wamiliki wa viwanda

Uwezo wa ukusanyaji wa mapato umekuwa ukiongezeka siku hadi siku

Halmashauri imeboresha mfumo wa kuingiza kumbukumbu za wamiliki wa viwanja pamoja na uhifadhi wa ramani katika mfumo wa kielektroniki

Halmashauri imeweza kutenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji

 

Changamoto:

Upungufu wa wataalamu wa upimaji

Uhaba wa vitendea kazi kama magari

Wananchi kutofahamu sheria za ardhi na hivyo kuzua migogoro isiyo na tija.

 

Hifadhi ya Misitu na Upandaji Miti

 Eneo lote la hifadhi ni Hekta 5,540, kati ya hizo Hekta 3800 ni eneo lenye maoteo ya mikoko. Aidha, jumla ya miti 8,030,000 imepandwa katika kipindi cha miaka minne kufanya wastani wa 100.4%. wa utekelezaji .

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.