• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Huduma za Elimu

Kwa upande wa huduma kwenye sekta ya elimu, tuna Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi na Elimu ya Sekondari.


ELIMU YA MSINGI

Tuna Shule za Msingi 100 (Serikali 79 na Binafsi 21) zikiwa na jumla ya wanafunzi 57,737 (Serikali 50,163 na Binafsi 7,574). Katika shule hizo madarasa ya Awali kwa Serikali ni 79 na shule za Binafsi 21 zenye jumla ya wanafunzi 8,395 (Serikali ni 6,630 na Binafsi 1,765).

 

Ufaulu wa Mtihani wa Darasa la VII (2016/2017)

Ufaulu wa wanafunzi wa shule za msingi ni mzuri na umepanda  kwa kipindi cha miaka mitatu kutoka 78.6% mwaka 2015 hadi kufikia 80% mwaka 2017 na hivyo kufikia  lengo la BRN la ufaulu la 80% kitaifa.

Hali ya Miundombinu na Samani katika shule za Msingi

Zipo juhudi kubwa zinazofanywa na Hamashauri ya Jiji la Tanga katika kupunguza au kuondoa kabisa upungufu wa miundombinu katika shule za Msingi hususani katika suala zima la vyoo na madarasa kutokana na changamoto kubwa ya kuongezeka kwa wanafunzi wanaoandikishwa kutokana na Elimu bila malipo, katika hili Halmashauri imekuwa ikitenga fedha katika bajeti ya kila mwaka kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ikiwemo madarasa, nyumba za walimu,vyoo na madawati. Pia imeweza kujenga upya baadhi ya shule zilizochakaa kama shule ya Msingi ya Bombo na kuendelea na mikakati ya kukarabati shule nyingine.

Hali ya miundombinu na samani katika shule za msingi

Na

Miundombinu

Mahitaji

Vilivyopo

Upungufu

1
Madarasa

1250

655

595

2
ofisi

135

57

78

3
Nyumba za walimu

1249

90

1159

4
Vyoo vya Wanafunzi

2374

753

1621

5.
Madawati

17675

18569

0


ELIMU YA SEKONDARI

Katika Jiji la Tanga kuna jumla ya shule za Sekondari 43 (Shule za Serikali 26 na 17 za binafsi pamoja na mashirika ya Dini) zenye jumla wanafunzi 21,746 (Serikali ni 17,159 na binafsi 4,587) Zipo shule za 04 za bweni za seirkali na shule 11 za binafsi zenye huduma ya bweni na hosteli

Hali ya Miundombinu  na Watumishi Elimu Sekondari

 

Elimu ya Sekondari

Mahitaji

Zilizopo

Pungufu(-) /  Ziada (+)

Waalimu

829

1051

+222

Vyumba vya Madarasa

462

430

-32

Madawati

17334

17838

+504

Nyumba za Walimu

1051

88

-963

Matundu ya Vyoo

783

410

-373

Maktaba

26

6

-20

Maabara

78

40

-38

Mabwalo ya chakula

26

7

-19

Stoo

51

29

-22

Majengo ya Utawala

26

20

-6

Chanzo: TSS-2017

NB: 

Pamoja na Halmashauri yetu kuwa na ziada ya walimu 222 kama inavyoonekana katika jedwali hapo ambao ni wa masomo ya sanaa, Halmashauri bado inakabiliwa na uhaba wa walimu wa Sayansi, Hisabati na Ufundi 101



Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.