• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Idara ya Afya

Kuna jumla ya vituo 69 vya kutolea huduma za Afya, kati ya hivyo (Serikali 37 na Visivyo vya Serikali 32). Vituo vya kutolea huduma za Afya vya Serikali ni (Hospitali ya Bombo 1, Vituo vya Afya 4, Zahanati 21, Zahanati ya taasisi za umma-majeshi na mashule). Vituo vya kutolea huduma za Afya vya Binafsi ni (Vituo vya Afya 6, Maabara 5, Kiliniki 4 na Zahanati 17).

Aidha Wilaya ya Tanga ina Maduka ya Madawa Baridi (Muhimu) 126 na Maduka ya Madawa Moto (Pharmacy) 19 na kufanya Wilaya kuwa na Maduka ya Madawa yapatayo 145.

 

Afya ya Kinga

Halmashauri inaendeleza jitihada katika kupambana na kudhibiti ueneaji wa magonjwa na matukio ya vifo kupitia program mbalimbali zikiwemo:.

  • Chanjo kwa watoto chini ya mwaka mmoja na akina mama waja wazito.
  • Elimu ya Maji na Usafi wa Mazingira.
  • Elimu bora ya Afya juu ya matatizo mbalimbali ya kiafya, na
  • Ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko na majanga kwa kutoa maelekezo ya namna ya kukabiliana nayo.

 Afya ya Tiba

 Kwenye eneo hili jitihada zimeelekezwa kwenye kuimarisha na kuongeza miundombinu ili kuhudumia wagonjwa na magonjwa ambayo kinga imeshindikana. Ujenzi wa Vituo vya afya viwili vya Maere na Mabokweni, Zahanati za Kirare na Mnyanjani sambamba na ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ni sehemu ya mkakati huo.

 

Tiba kwa wazee

  Idadi ya wakazi inayokadiriwa kufikia 15000 wenye umri wa zaidi ya miaka 60 kati yao wazee 4,506 wamebainika kutokuwa na uwezo wa kujihudumia. Wazee 4,000 kati ya hao wametambuliwa na kulipiwa CHF, juhudi zinaendelea kuwabaini 506 waliosalia.. Aidha, maeneo maalum yametengewa waganga kwenye vituo vyetu vyote vya kutolea huduma ya afya ili kuwahudumia. Huduma hii ya bure kwa wazee ilikwishazinduliwa tangu mwaka 2014 kwa Wilaya yetu ya Tanga.

 Madawa ya kulevya

 Wilaya yetu ni moja ya maeneo yaliyoathirika sana na madawa ya kulevya. Vijana wetu wapatao 867 wamebainika             kuathirika na dawa za kulevya.

Nyumba ya Utulivu (Sober House) imefunguliwa na vijana 110 wanaendelea na tiba.

Aidha, jumla ya Tsh 5 milioni zimetengwa ili kupanua huduma kwa waathirika.

Andiko maalum limeandaliwa ili kuwasilisha kwa washiriki mbalimbali wa maendeleo ikiwamo na Wizara ya Afya, Mashirika ya DINI, Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Taasisi Mbalimbali ili kutanua wigo wa kutolea huduma hiyo.

Ukimwi

Maambukizi ya UKIMWI kwa sasa ni 3.2% ikilinganishwa na 9.7% mwaka 2010 na hatua zinazoendelea ni pamoja na:

Elimu na Uhamasishaji wa mabadiliko ya tabia unaendela kutolewa kwa wananchi.

Huduma za wagonjwa majumbani inapatikana katika Kata zote 27 na jumla ya wagonjwa 11250 wanahudumiwa.

Wilaya inasaidia vikundi vya wajasiriamali ambapo tayari kuna vikundi vipatavyo 14 vyenye wanachama kati ya 12 - 40 vinavyosaidiwa.

Kuimarisha huduma ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

NA. 
HUDUMA ZITOLEWAZO 
JINSI ZINAVYOPATIKANA 
1
Kupima afya za wananchi na kutibu wagonjwa
- Katika Hospitali ya Wilaya, vituo vya afya na Zahanati.
2
Kutoa chanjo za magonjwa mbalimbali
- Hospitali, vituo vya afya na Zahanati
- Maeneo maalum yaliyotengwa katika vijijini
3
Uhamasishaji na semina za kujikianga na magonjwa mbalimbali
- Maeneo maalum katika kata au vijiji
- Vipeperushi na matangazo
4
Usimamizi wa ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na Zahanati.
- Katika kata/kijiji kulingana na mpango au ufadhili.
5
Usambazaji dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya.
- Hospitali, vituo vya afya, Zahanati na maeneo maalum kipindi cha milipuko ya magonjwa


Halmashauri ya Jiji la Tanga lina ; Vituo vya Afya 5 (Ngamiani, Pongwe, Makorora, Mikanjuni na Duga) na Zahanati 23. Kila Kata ndani ya Halmashauri ya Jiji la Tanga kuna Zahanati au Kituo cha Afya. 

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.