• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Idara ya Elimu Msingi

1.0: UTANGULIZI.

Idara ya Elimu Msingi ni mojawapo kati ya Idara mbalimbali zilizopo katika Halmashauri ya Jiji Tanga. Idara hii ina vitengo vinne ambavyo vinaongozwa na Wakuu wa vitengo ambao wanamsaidia Afisa Elimu katika kutekeleza majukumu yake ya Idara ya kila siku. Vitengo hivyo ni Elimu ya watu wazima, Taaluma, Vifaa na Takwimu na Utamaduni.

Kazi na majukumu ya kila kitengo yamefafanuliwa vizuri katika taarifa hii sehemu ya vitengo vilivyopo kwenye Idara. Ikumbukwe kwamba Idara ya Elimu Msingi ni moja ya Idara kubwa katika Halmashauri ya Jiji Tanga, hivyo majukumu yake ni mtambuka ambayo yanagusa Idara nyingine kama vile, Afya, Maji, Maendeleo ya Jamii, Kilimo na Mazingira.

Idara inafanya shughuli zake kwa kufuata sheria, kanuni, miongozo na taratibu zilizowekwa na TAMISEMI na Serikali kuu kwa lengo la kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata Elimu bora itakayowawezesha kufaulu mitihani yao na kumudu maisha yao ya kila siku katika Nyanja mbalimbali. Idara ina Watumishi ambao wanaweza kutimiza malengo   yaliyowekwa na Idara endapo watasimamiwa na kuwepo mazingira ya kufundishia ikiwemo miundombinu mfano, Vyumba vya Madarasa, Madawati, na Matundu ya Vyoo.

2.0: DIRA YA MWELEKEO.

Halmashauri ya Jiji Tanga imedhamiria kwamba kujenga uwezo wa kutoa huduma bora na mzuri kwa wakazi wake wote ifikapo mwaka 2020.

MWELEKEO: Halmashauri ya Jiji Tanga inachukua jukumu la kuhakikisha kuwa Jamii yote inashiriki, wake kwa waume katika kupanga na kutekeleza mipango yao ya kiuchumi na kijamii ili kuinua kipato cha mwananchi ifikapo mwaka 2020.

3.0: MALENGO YA IDARA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA.

Katika utoaji wa huduma Idara imejiwekea malengo mbalimbali yatakayosaidia utoaji wa Elimu bora katika Shule za Msingi katika Halmashauri ya Jiji Tanga

Katika kutekeleza majukumu yake Idara inashirikiana na wadau mbalimbali wa Elimu ambao ni viongozi wa Serikali za mita, Idara na Taasisi mbalimbali zisizo za Serikali, mashirika ya dini, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOS) CBOS na wahisani mbalimbali.

 

4.0: VITENGO VYA IDARA NA MAJUKUMU YAKE

Kama ilivyoelezwa katika utangulizi wa taarifa hii idara ina vitengo vinne (4) ambavyo ni. 

Elimu ya Watu Wazima ambayo ndani yake kuna vitengo vidogo vitano (5) ambavyo ni vielelezo, ufundi, kilimo, Sayansi kimu na Elimu Maalum.

Taaluma, Vifaa na takwimu na Utamaduni ambacho ndani yake kuna kitengo kidogo cha michezo.


5.0: MAJUKUMU YA IDARA KWA UJUMLA

Idara ya elimu msingi ina majukumu mengi ambayo yanasaidia katika utoaji wa elimu bora, kwa ujumla  malengo ya idara ni haya yafuatayo:-

  • Kusimamia utoaji wa Elimu katika shule za awali ,Msingi ,Elimu ya watu wazima na Elimu Maalum
  • Kuinua kiwango cha ufaulu mwaka hadi mwaka na kufikia kiwango cha juu.
  • Kuboresha miundombinu katika shule kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Elimu
  • Kuhakikisha kuwa vifaa vya kufundishia na kujifunzia vinapatikana kwa lengo la kutoa Elimu iliyo bora.
  • Kuwa kiungo kati ya Idara nyingine ndani ya Halmashauri katika utoaji wa Elimu bora katika maswala ya Afya, Kilimo, Maji, Mazingira,Ustawi wa maendeleo ya jamii
  • Kushirikiana na Idara nyingine zinazomhudumia mwalimu kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wa mwalimu




Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.