• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Idara ya Utawala na Rasilimali watu

Idara ya Utumishi Na Utawala inaongozwa na Bw. Salum Kalyomunda (0713 274 819)

Idara hii inatoa huduma mbalimbali kama ifuatavyo:

1.Kuajiri (Kuingiza watumishi wapya kwenye payroll

2.Kupandisha vyeo watumishi wa idara mbalimali (Promotion.)

3.Kuwaondoa kwenye payroll watumishi waliostaafu, kufariki, kuacha kazi na utoro wa muda mrefu.

4.Usimamizi wa watumishi katika maslahi mbalimbali ya kiututumishi kama nidhamu.

5.Kusimamia taarifa za kiutumishi na mishahara (Human Capital Management Information System (HCMIS-Lawson).

6.Kuandaa mpango wa mafunzo wa halmashauri na mahitaji ya mafunzo kwa watumishi.

7.Kuratibu mahudhurio ya watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga.

8.Kuandaa taarifa za idara, taarifa za Tume ya Utumishi wa Umma, taarifa za utekelezaji za robo mwaka.

9.Kutunza na kujaza rejesta za taarifa mbalimbali za watumishi mfano walioacha kazi, watoro, waliofariki, waliohama, waliohamia, waliostaafu.

10.Kuratibu mpango wa likizo ya mwaka kwa watumishi “Leave roster.

11.Kusimamia suala la ujazaji wa fomu za upimaji wa wazi na utendaji kazi (OPRAS) kwa watumishi wa Halmashauri na Idara ya Utawala.

12.Kuandaa takwimu za kiutumishi za Halmashuari.

13.Kuandaa na kusimamia sera ya usimamizi na uendeshaji wa ofisi ya Halmashauri.

14.Kuandaa bajeti ya idara ya utawala kwa kila mwaka wa fedha.

15.Kuandaa mpango wa manunuzi wa Idara ya Utawala.

16.Kusimamia watendaji wa vijiji na kata kuhusu kuitisha mikutano ya kisheria na utekelezaji wa shughuli za utawala bora.

17.Kuandaa taarifa ya kila robo ya mikutano ya kisheria iliyofanyika kwa ngazi zote na kuiwasilisha katika taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Serikali za kila robo.

18.Kuandaa bajeti ya mishahara (PE) na kuingiza kwenye mfumo wa taarifa za kitumishi na mishahara.


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.