• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Taarifa ya Miradi iliyotembelewa na Kamati

1:  UJENZI WA SHULE YA MSINGI BOMBO

Shuleya Msingi Bombo ni miongoni mwa Shule tatu za Umma zilizopo ndani ya kata yaCentral. Shule ina jumla ya wanafunzi 1,036 wavulana 564 wasichana 472. Kunawalimu 18 wanaume 2 wanawake 16. Shule hii imejengwa upya baada ya jengo laawali kusitishwa kutumika kutokana na uchakavu.

Jengohilo la zamani  lilijengwa mnamo mwaka 1902 na  kuanza kutumika kama shule ya Awali mwaka 1945, na baadae kuwa shule ya Msingi. Jengo hilolilikuwa la ghorofa moja, ndani yake lilikuwa na huduma zote muhimu za shule.

Wanafunziwote walihama kwa muda na kushirikiana vyumba vya madarasa katika Majengo yaShule ya Msingi Mkwakwani baada ya jengo hilo kutofaa kutumika tena na hivyokusababisha msongamano mkubwa katika Shule ya Msingi Mkwakwani.

 Halmashauriilianza ujenzi wa majengo mbadala mwezi Septemba 2016, kwa kujenga vyumba sita(6) vya madarasa kwa mapato yake ya  ndani. Na vilevile ujenzi unaendeleawa vyumba vitano (5) vya madarasa, jengo la utawala na vyoo kwa fedha zaSerikali kuu kupitia mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo (Paymentfor Results – P4R).

Faidazitakazopatikana kutokana na mradi huu ni:-

Kuboreshamazingira ya kujifunzia na kufundishia.

Kupunguzamsongamano katika jengo la shule ya msingi Mkwakwani

Thamani ya mradi ni Tsh. 408,707,710.00

2:        DUKA LA DAWA LA JAMII

Lengokuu la Maduka haya ya dawa ni kuimarisha huduma bora za afya kwa jamii nakuwezesha upatikanaji wa dawa, vitendanishi na vifaa tiba  karibu zaidi naWananchi, kwa muda wote, ubora unaokubalika na kwa bei nafuu.

Hudumazinazotolewa ni upatikanaji wa  dawa zote zilizopo katika orodha ya dawaza Bohari Kuu ya Dawa (MSD) na zisizo katika orodha (Generic and BrandsMedicines),  huduma ya dawa kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima yaAfya (NHIF), dawa kwa jamii,  Dawa kwa Taasisi za serikali na binafsi kwawaliosajiliwa kwa mujibu wa sheria.

Faidaza mradi huu ni kama ifuatavyo:-

Kurahisishaupatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa wananchi kwa bei nafuu,  kupunguzaurasimu wa ununuzi wa dawa, vitendanishi na vifaa tiba katika ngazi ya Vituovya kutolea Huduma za Afya na Kuwezesha upatikanaji wa dawa, vitendanishi navifa tiba katika Vituo vya kutolea Huduma za Afya kwa 100%.

Kusogezahuduma ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa waBima ya Afya (NHIF).Vilevile ni Kivutio kikuu kwa Wananchi kujiunga na Mfuko waAfya ya Jamii/TIKA kutokana na kuwa na uhakika wa uwepo wa dawa, vitendanishina vifaa tiba vituoni. 

Kuongezamapato ya ndani ya Halmashauri

Kuviondoa/kupunguzakabisa Vituo vya Umma kununua dawa, vitendanishi na vifaa tiba kwa washitiri(Prime vendors).

Thamani ya mradi ni Tsh.451,000,000.00

3:        MRADI WA TANGA TELEVISHENI

Faidaza Mradi huu ni kama ifuatavyo:-

Kuifahamishajamii ya wakazi wa  Tanga juu ya matukio ya kiserikali na kijamii yanayotokeandani na nje ya Wilaya na Mkoa wetu Kitaifa na Kimataifa.

Kutoaelimu juu ya mambo mbalimbali, mfano Afya ya Jamii, ujasiliamali, n.k

Kuonyeshashughuli mbalimbali zinazofanywa na Halmashauri, na Baraza la madiwani (ikiwemovikao vya Baraza la madiwani)

Kuinuavipaji vya wasanii wa Tanga kwa kuzitangaza kazi zao.

Kutoafursa kwa watazamaji kuwasiliana na watendaji wa sekta mbalimbali moja kwa mojakupitia vipindi vya mahojiano (live programme)

Kutoaburudani kupitia muziki, filamu na michezo mbalimbali inayoonyeshwa na kituo.

KupitiaKituo hiki, wakazi wa Tanga na Taifa kwa ujumla watapata elimu na habari juu yafursa za ajira katika uwekezaji mkubwa unaokuja Tanga, uelewa wa kutosha juu yaTanzania ya Viwanda, na umuhimu wa kutunza na kuimarisha afya zao.

TaTVinamatarajio ya kupanua huduma zake ionekane kitaifa.

Thamani ya mradi ni Tsh.136,986,799.00

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.