• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

Imewekwa: July 20th, 2025

Shirika lisilo la kiserikali la Legal and Advocacy Centre Initiative (LACI), lililosajiliwa mkoani Morogoro, na ambalo hufanya shughuli zake kitaifa, Ijumaa Julai 18, 2025, limetambulisha kwa Menejimenti ya Jiji la Tanga, mradi wa "Mtoto wa Mwenzako ni Wako, mlinde" utakao tekelezwa katika kata 27 za Jiji la Tanga, kwa kipindi cha kati ya miezi 12 hadi 24 kwa lengo la kuzuia aina zote za ukatili dhidi ya mtoto.


Akizungumzia shughuli zitakazo tekelezwa na mradi huo, Mkurugenzi wa LACI, Bi. Mourine Msangi, amesema mradi umejikita katika kufanya ulinzi wa mtoto kisheria, kuzuia vyanzo vya ukatili kwa kutoa elimu, ikiwa ni pamoja na kuwasaidia manusura wa ukatili.


Msangi amewaomba wakazi wa Jiji la Tanga kuipa ushirikiano LACI itakapofika katika mitaa yao, ambapo amesema kwa nguvu ya pamoja ya jamii, upo uwezekano wa kuwalinda watoto dhidi ya aina zote za ukatili.


Kwa upande wake, Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, katika tukio hilo, Bw. Simon Mdende, ameipongeza LACI kwa kuja na mradi huo, ambapo amesema Jiji la Tanga linatajwa kama moja ya miji yenye kiwango cha juu cha vitendo vya ukatili wa kijinsia, hivyo shirika hilo litasaidia kupunguza hali hiyo, ambapo pia amewataka kuzingatia sheria na kanuni za usajili katika utekelezaji wa majukumu yao.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

    July 22, 2025
  • LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

    July 20, 2025
  • MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

    July 20, 2025
  • NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI: TANGA JIJI YAJIPANGA KUONYESHA UTEKELEZAJI WA ILANI..

    July 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.