• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

Imewekwa: July 20th, 2025

•JIJI SAFI TANZANIA LAJIIMARISHA KWA UNUNUZI WA MTAMBO MPYA.

•ENG. HAMSINI AWAPA FURAHA WATOTO, ASHIRIKI UTUNZAJI WA MAZINGIRA.

Julai 10, 2025.

Katika kupunguza Changamoto ya Upungufu wa Madawati kwa Shule za Msingi, Halmashauri ya Jiji la Tanga imegawa jumla ya seti za meza na viti 500 kwa baadhi ya shule hizo ambavyo vina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 67. Viti na meza hizo, ambavyo ni sehemu ya vingine vilivyofika kabla, havitokani na ukataji wa miti (mbao), jambo linalosaidia utunzaji wa mazingira kwa kuendelea kuipa uhai maliasili zetu.


Aidha Halmshauri hiyo imenunua Mtambo (kijiko) kwaajili ya usafi ambao umegharimu zaidi ya shilingi Milioni 200. Mtambo huo, pamoja na kazi zingine, utasaidia kusukuma takataka katika dampo la Halmashauri lililopo eneo la Mpirani, kata ya Chongoleani. Mtambo huo ni moja ya mitambo ambayo Halmashauri imejiwekea malengo ya kuinunua, kusaidia kazi mbalimbali ikiwemo ya kuendelea kulifanya Jiji la Tanga kuwa Jiji safi Tanzania.


Akizungumza mara baada ya kukabidhi Mtambo pamoja na Madawati hayo Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Mhandisi Juma Hamsini amesema kuwa hiyo ni moja ya mipango mikakati ya Halmashauri ya Jiji la Tanga iliyojiwekea katika mwaka fedha 2025/2026.


Hata hivyo amesema kuna mikakati ya uboreshaji wa elimu ikiwemo kupitia wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na mradi wa shule bora ambao una lengo la kukuza na kuinua jitihada za walimu na wanafunzi katika kuchochea ufaulu mzuri.


Kwaupande wao walimu walionufaika na mgao huo wakaeleza umuhimu wa upatikanaji wa madawati hayo katika shule zao ikiwa ni muendelezo wa kumaliza changamoto ya ukosefu wa madawati shuleni na kuishukuru Halmashauri na kuahidi Kwenda kuvitunza ili kuleta tija katika shule zao.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

    July 22, 2025
  • LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

    July 20, 2025
  • MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

    July 20, 2025
  • NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI: TANGA JIJI YAJIPANGA KUONYESHA UTEKELEZAJI WA ILANI..

    July 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.