• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

Imewekwa: July 22nd, 2025

Julai 21, 2025.


Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Mhandisi Juma Hamsini, amekabidhi magari mapya manne yenye thamani ya shillingi million 661 yaliyonunuliwa na Halmashauri ya Jiji la Tanga katika bajeti ya mwaka 2024/2025, kwa wakuu wa idara na vitengo, kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa sehemu hizo.


Magari hayo yamekabidhiwa kwa idara ya Utawala magari mawili (coaster na double cabin pick up), Idara ya Mipango na Uratibu, gari moja (double cabin pick up) na vitengo viwili vya Ukaguzi wa Ndani na cha Manunuzi, wakikabidhiwa gari moja, ( double cabin pick up) kutokana na shughuli zao za ufuatiliaji wa miradi, kufanyika kwa pamoja.


Akizungumza baada ya kukabidhi gari hizo, Mhandisi Hamsini amelishukuru baraza la madiwani lililomaliza muda wake kwa kuridhia ununuzi huo kwa kupitisha bajeti.


"Kwa leo tumekabidhi gari 4 zenye thamani ya milioni mia sita sitini na moja, hii inaleta tija kwa watumishi katika kusimamia miradi ya maendeleo na kupata safari za kikazi, kumbuka kazi nyingi tunazokwenda ni Dar es salaam pamoja na Dodoma, ni aibu kubwa sana kwa mtumishi ambaye ni senior (mwandamizi) kupanda basi, kwahiyo tukasema haiwezekani. Lazima kipaumbele chetu tuhakikishe tunakuwa na magari kwa ajili ya shughuli zetu......


.......Lakini vitendea kazi hivi vilivyotolewa sio kwa ajili ya kuchezea ni kwa ajili ya kusimamia kazi za Halmashauri kwa niaba ya wananchi wa jiji la Tanga, lakini kununua gari ni hatua moja wapo, kuitunza gari ni kitu muhimu sana gari ni kama binadamu inahitaji chakula, chakula chake ni oil na spare parts, unatakiwa uweke spare parts na oil ambazo ni original sio unanunua vitu mtaani kwahiyo lazima zipelekwe kwenye gereji ambazo zimeainishwa na mzabuni husika.

Kwahiyo nawasisitiza wenzangu leo magari yapo lakini tuhakikishe tuyatunze japo yatumike miaka mitatu mpaka mitano" Amesisitiza Mhandisi Juma Hamsini.


Katika bajeti ya mwaka huu 2025/2026, Halmashauri inakusudia kununua gari mpya tatu na mitambo, ikiwemo gari maalumu ya matangazo kwa ajili ya kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

    July 22, 2025
  • LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

    July 20, 2025
  • MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

    July 20, 2025
  • NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI: TANGA JIJI YAJIPANGA KUONYESHA UTEKELEZAJI WA ILANI..

    July 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.