• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

ZAIDI YA WALENGWA 2000 WA TASAF WAHITIMU TANGA JIJI

Imewekwa: July 12th, 2024

Na: Mwajuma Ernest

Zaidi ya wanufaika elfu mbili (2000) wa mradi wa TASAF katika Jiji la Tanga, wamehitimu kupokea fedha chini ya mpango wa kuziwezesha kaya za walengwa, kwa kipindi cha miaka kumi ambacho walinufaika na mpango huo.


Akizungumza katika zoezi la malipo ya walengwa katika dirisha la 18 la mwezi Machi, lililofanyika Jumatatu, Julai 09, 2024, Afisa Ufuatiliaji wa Tasaf Jiji la Tanga, Yohana Lwendo, amesema kuwa kaya zilizokuwa zinanufaika na Tasaf tangu mwaka 2015 zilikuwa zinatambulika na tathmini ya walengwa ilifanyika mwaka Jana mwezi wa saba Ili kubaini walengwa ambao hali zao za uchumi zimekuwa bora ukilinganisha na Hali waliyokuwa nayo wakati wanaanza ambapo dodoso lilipita na kuzitambua kaya husika.


"Jumla ya walengwa 2674 wamehitimu katika dirisha la mwezi wa  tatu wamepokea malipo yao na hawatakuwa wanapokea tena malipo kama ilivyokuwa kwa muda wa miaka 10 iliyopita", amesema Lwendo


Naye Mratibu wa Tasaf jiji la Tanga, Juma Mkombozi amesema kuwa wanufaika walikuwa wanajengewa uwezo kuhusu namna ya kufuata utaratibu wa mpango juu ya  Matumizi ya ruzuku lakini pia namna ya kuanzisha shughuli ndogondogo za uzalishaji ili kukuza kipato cha kaya zao.


"Aidha kwa mwaka Jana tulianzisha vikundi vya kuweka na kuwekeza ambapo walengwa wanasaidika kukopeshana wao Kwa wao lakini nawasisitiza vikundi vikiimarika watapata mikopo nafuu lakini wakiitaji Elimu yoyote ya fedha ni rahisi kusaidika lakini vikundi hivi vikiimarika ni rahisi kuunganishwa na mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri bila riba kwahiyo wao waendelee kushirikiana kwani ni ukombozi wao" amesema Mkombozi


Nao baadhi ya wahitimu wanufaika wa Tasaf, Bi. Mwanakombo Jafari  ameishukuru Serikali Kwa kuwajali Kwa kipindi chote walichokuwa wanapokea ruzuku kwani imemsaidia kusomesha watoto lakini pia kununua kiwanja .

Naye lusi John kutoka mtaa wa Gofu juu ambaye ni mhitimu wa Tasaf ameishukuru Serikali kwa kumwezesha Kwa kipindi chote Cha miaka 10 kwani ameweza kununua pikipiki.



Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.