• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Waziri wa Afya aipongeza Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa kukamilisha ujenzi wa kituo cha Afya

Imewekwa: July 4th, 2019

Waziri wa Afya Wazee Jinsia na Watoto Mh Ummy Mwalimu ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Tanga kuwezesha kukamilika kwa Zahanati ya Kwanjeka.

Mhe.Ummy Mwalimu ametoa kauli hiyo wakati akizindua Zahanati ya Kwanjeka Nyota iliyopo kata ya Mnyanjani jijini Tanga.

Aidha Mhe.Ummy Mwalimu ameziagiza Halmashauri zote Nchini kutumia Rasilimali fedha na makusanyo yao kutatua changamoto za Mwananchi ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya kutoa huduma za Afya  na kusisitiza kuwa linapokuja swala la maendeleo ya wanatanga hakuna vyama.

"Uwepo wa zahanati hii ya Kwanjeka ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya kusogeza huduma za Afya  karibu na wananchi kwaiyo Watendaji,Mkurugenzi,na CHMT kamati ya uwezeshaji ya Afya ya Halmashauri  matarajio yangu ni kwamba kutatolewa Huduma bora za Afya naisio jengo suri tu,Hospitali na Zahanati ni huduma sio kuwa na majengo wataalam mpo mnanisikiliza ni lazima tuhakikishe vifaa vyote muhimu vinapatikana"Amesema hayo Ummy Mwalimu.

Pia amewataka watumishi watakaofanya kazi katika Hospitali hiyo ni marufuku kutoa lugha chafu  kwa wagonjwa au wateja wao  hivyo anamatarajio ya kuwa watatoa huduma nzuri sambamba na lugha nzuri kwa wananchi  na kuwataka wananchi kutoa taarifa  ya muuguzi yeyote atakayehitaji rushwa au kutoa lugha mbaya.

"Mimi ninaamini watumishi wetu wa Afya tumewapa maelekezo mazuri  kwa kuzingatia kanuni,Maadili;na uweledi wa utendaji kazi zenu pia tutajitahidi kama serikali kuu kuongeza watumishi wa Afya tumeomba Utumishi watupatie kibali cha kuajiri hivyo  tunaamini kabla ya mwisho wa mwaka huu tutakuwa tumeajiri watumishi kwa nafasi yangu kama Waziri wa Afya lakini pia kama mbunge  kutokea Tanga mjini  nitahakikisha huduma au vipimo vyote muhimu vinapatikana hapa  tunamshukuru Balozi   wa China ametupatia shillingi Milioni 40 kwa ajali ya kununua vifaa tiba vikiwa tayari  Mkurugenzi tutakukabidhi"Amesema hayo Ummy Mwalimu

Mhe.Ummy Mwalimu amewaomba wakazi  wa jiji la Tanga  na Tanzania kwa ujumla  kujiunga na Bima ya Afya  CHF iliyoboreshwa  kwa shillingi 30,000 kwa watu 6 kwa mwaka mzima  na wamefanya maamuzi kama Serikali  kuhakikisha kila Mtanzania hata awe masini anapata huduma ya Afya bila kikwazo cha fedha.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.