• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufanya ziara ya siku 1 Tanga

Imewekwa: June 30th, 2020



Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela amesema Waziri Mkuu wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara tarehe 1 mwezi wa 6 Mkoani Tanga ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kukagua utekelezaji  wa agizo lake kwa bodi ya mkonge  alilolitoa mwezi wa 3 Mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari Shigela alisema Waziri Mkuu anatarajiwa kuzindua jengo la bodi ya mkonge lililopo Jijini Tanga na baadae atatembelea Taasisi ya utafiti ya mlingano na kukagua vitalu vya zao hilo .

Shigela alisema kuwa ziara hiyo ni mahususi kwaajili ya kufuatiali  maagizo aliyoyatoa tarehe  1 mwezi 3 mwaka huu baada ya kupokea taarifa ya kamati maalum aliyounda kwaajili ya kufuatilia  mali za bodi ya mkonge .

“Waziri Mkuu anatarajia kufanya ziara katika Mkoa wetu na ziara hiyo itakuwa ni mwendelezo wa ziara yake aliyoifanya  mwezi wa 3 na akatoa maagizo fulani kwaiyo hiyo ziara itakuwa mahususi kwaajili ya kuja kuona maagizo aliyokwisha yatoa ya ufuatiliaji na ufafanuzi wa zao la mkonge na namna ya utekelezaji na urejeshwaji wa mali ambazo zilitajwa kuwa ziliporwa kinyume cha utaratibu na sheria “Alisema Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigelas

 Shigela aliendelea kufafanua kuwa ujio huo ndio utakuwa ukombozi katika Mkoa wa Tanga  kwani endapo zao la mkonge litafufuliwa na kuimarishwa Mkoani humo Wananchi wataweza kujikwamua kiuchumi kutokana na kilimo cha zao hilo.

Ziara hiyo ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ina  lengo la kufuatilia utekelezaji wa majengo pamoja na mashamba ya bodi ya mkonge yaliyokuwa yamechukuliwa na Wananchi  kinyemela kwa  maslahi yao  binafsi ambapo baadhi yao hujiwekea katika  Taasisi zao binafsi .

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.