• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Waziri Jafo aipongeza Tanga Jiji

Imewekwa: September 18th, 2019

Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Seleman Jaffo amefanya ziara ya kukagua miradi tisa Mkoani Tanga.

Akiwa katika ziara hiyo ya kukagua miradi Waziri Jafo ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Tanga jinsi ilivyotekeleza miradi yake kwa ubora na kuwataka viongozi wa Mkoa wa Dar es salam kuja kujifunza katika Halmashauri  hiyo .

Amesema kuwa Tanga ni Wilaya pekee Tanzania Ambayo imejenga dampo lenye ukuta mzuri ambao una ukubwa wa zaidi ya ekari  75 zote zikiwa zimetumika kujengea ukuta huo.

“ Niwapongeze  kiupekee  Tanga kwa kujenga dampo hili kwasababu nadir dampo pekken la Tanzania nilikopita zaaide ya ekari 75 zote mmetumia kujengea Ukuta wakisasa mko vizuri naniwatake viongozi wa Mkoa Dares salaam wake kujifunza Tanga waone ilani inavyotekelezwa vizuri katika Mkoa huu",.Alisema Seleman Jafo

Waziri Jafo ameongeza kuwa kila kiongozi amepewa dhamana ya kusimamia majukumu yake mwenyewe katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengine hivyo kila kiongozi lazima afanye kazi yake kwa umakini na si kusubiri kusimamiwa na viongozi wangazi za juu.

“Watu wanataka kila eneo waziri ukaweke mkono nini majukumu yenu ninyi viongozi mliopewa dhamana kama viongozi wa kusimamia ? Sio kila kitu mpaka afike Rais au Makamu wa Rais au Waziri mmepewa dhamana ya kusimamia Mikoa yenu ,Wilaya zenu, na maeneo yenu kila kiongozi lazima afanye kazi yake kwa umakini”,.Alisema Waziri Jafo

Pia  Mhe.Jafo alitembelea mradi wa  ujenzi wa jengo jipya la Halmashauri ya Jiji la Tanga ambalo linajengwa kwa makusanyo ya Mapato ya ndani, Ukarabati wa shule ya sekondari Usagara na shule ya sekondari Galanos iliyopo kata ya Nguvumali,  ujenzi wa kituo cha afya Mwakidila  kilichopo kata ya Tangasisi ,Kiwanda cha ushonaji nguo cha Makorora,ujenzi wa Hospitali ya Wilaya iliyopo Masiwani ,Jengo la kitega Uchumi lililopo katika stendi ya mabasi Kange iliyopo kata ya Maweni pamoja na kiwanda cha Matofali  .



                                                            Mhe .  Seleman Jaffo akiwa katika eneo la dampo Jijini Tanga .

                                                                                                      

                                                                     Eneo la dampo lenye zaidi ya ekari 75 lililopo Jijini Tanga .

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.