• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wazazi washauriwa kuwapa elimu ya maisha watoto

Imewekwa: October 4th, 2019

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu na watu wenye ulemavu  Stela Ikupa amewaasa wazazi na walezi  wa Wilaya ya  Tanga  kuwapa elimu ya maisha  watoto wao ili iweze  kuwasaidie kujitambua.

Ikupa amesema hayo wakati wa ziara yake aliyoifanya Wilayani Tanga na kusema  kuna umuhimu mkubwa kwa wazazi  kukaa na watoto wao na kuwaelimisha kuhusiana na  maisha kuliko kusubiri watoto  wafundishwe shuleni .

“Kila mzazi achukue jukumu la kukaa na watoto wake na kuwaeleza yaliyopo ndani ya dunia na kuwambia wakienda kwa njia hii wataishia pale na wakienda kwa njia hii watafika pale itasaidia kuliko kusuburi viongozi wa dini na walimu mashuleni ,kwani msingi wa malezi  bora unaanza ndani ya familia  na samaki mkunje angali mbichi “,.Alisema Stela Ikupa

Sambamba na hilo Ikupa amewashauri wanasiasa wanapoelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa wawe na  wakalimani wa lugha za alama ili waweze kuwasaidia watu ambao wanashida ya kusikia kwa sababu wamekuwa wakiachwa nyuma .

“Tunapoelekea katika uchaguzi tuangalie ni jinsi gani tunaweza kuwahimiza wanasiasa kuwa na wakalimani wa lugha ya alama ambao wataweza kuwasaidia watu ambao wana shida ya kusikia waweze kuelewa lakini kuwa na mkakati wa kuwa na mtu kama huyo ifike mahari tuwe na mtu kama huyo katika Halmashauri”,.Alisema  Ikupa

Pia stela aliweza kutembelea kituo cha watu wenye ulemavu cha YDCP  na kuwapongeza kwa kujikubali na kuwataka walemavu ambao hawajajitokeza waweze kujitokeze na kujiunga katika vikundi mbalimbali vya ujasiriamali .

Aidha Stela amewashauri walemavu hao kujitokeza na kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi  na kuwachagua viongozi wa serikali za mitaa wanaowafaa s na kuacha dhana ya kuamini kuwa hawawezi  kuwa viongozi .


                                                                               Baadhi ya walemavu katika kituo cha YDCP kilichopo Jijini Tanga

                                                                                 Mkalimani wa lugha za alama akiwaelekeza wenzake

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.