• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wavuvi watakiwa kufuata kanuni na Sheria

Imewekwa: August 14th, 2020

Waziri wa mifugo na uvuvi Luhaga Mpina amewataka wavuvi kuendelea kufuata kanuni na sheria za uvuvi zilizowekwa na Serikali ili kuendelea kupata samaki wakubwa katika Bahari ya hindi.

Akizungumza na wavuvi wa soko la deep sea Jijini Tanga  Waziri Mpina aliwahimiza kutotumika vibaya na viongozi  wanaokuja kuomba kura huku  wakiwadanganya kuvunja  sheria ya uvuvi hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 28 mwezi wa kumi mwaka huu.

“Niwashukuru sana wananchi kwa jitihada mnazozifanya za kuhakikisha mnavua kwa nyavu halali tuendelee kuunga mkono jitihada za Serikali ili uvuvi wetu uendelee kutupa manufaa na kwa wale ambao wanasema kipindi hiki ni cha uchaguzi kwahiyo hawatakamatwa niwambie tu kuwa sheria bado ipo vilevile hata kama tunaelekea katika uchaguzi  ”Alisema  Waziri wa mifugo na uvuvi Luhaga Mpina

Sambamba na hayo pia Waziri Mpina alitoa onyo kwa wagombea wa Jiji la Tanga kutowatumia vibaya wavuvi wa Jiji hili kwani Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli haina lengo la kuwaonea wananchi .

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Tanga  Daudi Mayeji alieleza ni kwa namna gani wamejipanga katika kuboresha miundombinu ya wavuvi kwa kutenga kiasi cha shillingi Milion 250  ikiwa ni kuboresha njia kwaajili ya mabasi yanayosafirisha mizigo ,kuboresha jengo linalotumia kuuza samaki .

“Mbali na hayo tuna mipango mipana katika kutaboresha barabara ili magari yanayokuja kuleta mizigo yaweze kuja bila wasiwasi pili tutaboresha jengo la kuuzia samaki kwasababu limekuwa bovu na tutatengeneza eneo la muda mfupi ili hili tulibomoe na kujenga upya “Alisema Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji

Mayeji aliongeza kwa kumwomba Waziri wa mifugo na uvuvi Luhaga Mpina kuwafikiria wavuvi wa Jiji la Tanga  katika mpango wa kuanza mfumo wa uvuvi katika maji marefu kwa kuwa Tanga kuna Bahari pana na yenye maji marefu na samaki wengi wazuri .

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.