• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Watoto kupewa chanzo ya Surua na Rubella

Imewekwa: October 17th, 2019

Mkuu wa Wilaya  Tanga Thobias Mwilapwa amewapongeza  wananchi wa Jiji hilo  ambao wamejitokeza kwa wingi kupima   chanjo ya magonjwa  surua pamoja na  rubella.

Mwilapwa ametoa pongezi hizo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya  chanjo dhidi ya surua na rubella kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5  iliyofanyika katika kituo cha afya cha Ngamiani kilichopo Jijini tanga ambapo  wananchi wameonesha mwitikio mkubwa ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza zoezi hilo .

Mwilapwa ameongeza kuwa Taifa  limeanzisha kampeni ya kupambana na magonjwa matatu ambapo kati ya magonjwa hayo mawili yanafanana ambayo ni surua na rubella pamoja na polio .

“Taifa letu limeanzisha kampeni ya namna hii ya kupambana na magonjwa matatu ambayo mawili yanafanana sana surua na rubella pamoja na polio tangu mwaka 1999 na kila baada ya miaka 3tunafanya kitendo cha kampeni yenye lengo la kuhamasisha ufahamu kwa watu wengi kuhusu mambo ya msingi na mambo yanayotakiwa kufanyika “,.Alisema Thobias Mwilapwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga

 Pia  Mwilapwa ameongeza kuwa serikali inatumia fedha  kwaajili ya kusaidia wananchi wake hivyo wanapaswa kujitokeza zaidi  ili kupima na kutambua afya  za watoto wao  na kupewa chanjo  .

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga  Jonathan Budenu  amesema lengo kuu la kampeni hiyo ni kupambana na kuzuia na magojwa yanayoweza kuzuilika na chanjo .

“Tunazuia magonjwa haya kwa kutoa chanjo kwa watoto wote wenye umri kati ya miezi 9 hadi chini ya miaka 5 na kampeni hiyo itafanyika katika vituo vyote vya afya pamoja na maeneo ambayo yatakuwa yamechaguliwa kuweza kuwasogezea wananchi huduma hii karibu”,.Alisema Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga

Kauli mbiu ya kampeni ya chanzo dhidi ya surua na rubella kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5 ni  Chanzo ni kinga kwa pamoja tuwakinge .


Wananchi wakiwa katika kituo cha Ngamiani   kuwapima  watoto  wao surua na rubella Jijini Tanga 


Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga  Jonathan Budenu akiwaasa wananchi kujitokeza ili kuwapa  watoto wao chanjo 

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.