• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wananchi watakiwa kuchangia maendeleo ya Mitaa yao Jijini Tanga

Imewekwa: January 13th, 2020


Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustafa Selebosi amewataka Viongozi katika ngazi za Mitaa  kuwahimiza Wananchi katika kuchangia Maendeleo katika Mitaa yao.

Selebosi ameyasema hayo wakati wa hafla ya kupoke msaada wa vitanda ,Magodoro na Mashuka katika kitua cha Afya Duga kutoka kiwanda cha vipodozi  (Tanga Pharmaceutical and plastic limited) TPPL kilichopo Mkoani Tanga

Akizungumza na Viongozi wa Mtaa wa Duga ikiwemo Diwani,Watendaji , Wenyeviti pamoja na Wahudumu wa Afya wa Kituo cha Afya Duga Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustafa Seleboss amesema kuwa ni vema Viongozi wa Mitaa wakawahimiza Wananchi wao kuchangia Maendeleo katika Mitaa wanayoishi ili kuunga jitihada  za Serikali  katika utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Sambaba na hayo Selebosi amesema kuwa atashirikiana na Viongozi wa Kata ya Duga katika kujenga uzio wa kituo hicho cha Afya ili kulinda usalama wa eneo hilo.

“   Lakini kingine niwaombe Wenyeviti Mhe Diwani amezungumza kuhusu suala la uzio tunatakiwa tuangalie huduma za kijamii kwanza kuhamasisha Wananchi chini ya Mhe Diwani kweza kuchangia Maendeleo katika eneo hili  na ni wajibu wetu kuimarisha vituo hivi ili kupunguza msongamano uliopo ndani ya eneo hili  ” ,.Alisema Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustapha Seleboss                                     

 kwa upande wake Diwani waKkata ya Duga  Khalid Rashidi amewapongeza watoa huduma wa Kituo hicho cha Afya kwa kuwahudumia  Wananchi wa Kata ya Duga na Kata za jirani huku Mwenyekiti wa CCM Kata ya Duga Joseph Kilumbo ameeleza  namna Chama hicho kinavyotekelza  ilani yake.

Nae Mganga Mfawidi wa Kituo cha Afya cha Duga  Dkt Magreth  Matutu ameeleza taarifa ya kituo huku  Mwenyekiti wa kamati ya huduma  za jamii Shiloo  ametoa wito kwa Mashirika mengine kuweza kusaidia na kuunga mkono jitihada za Serikali.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.