• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wananchi wa Tanga watakiwa kushirikiana na vyombo vya usalama

Imewekwa: December 18th, 2019

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama  ambaye ni MKuu wa Wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa amewataka wakazi wa Jiji la Tanga kushirikiana na Vyombo vya Usalama  kwa Kutoa taarifa juu ya uwepo wa viashiria vya uharifu ili kuendeleza amani iliyopo katika Jiji hilo.

Mwilapwa amesema hayo  wakati wa kikao cha  Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Tanga baada ya  kuibuka kwa kikundi kinachotajwa kufanya uhalifu katika Maeneo mbalimbali ya Jiji hilo.

Mwilapwa amesema kuwa siku za hivi  Karibuni kumekuwa na Matukio ya Uharifu katika Jiji la Tanga ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa tukio la kuvamiwa  kwa mwenyekiti wa Mtaa wa Railways kata ya Centreal na kisha kuchomwa na kitu chenye ncha kali.

“Madhara ya uharifu hayachagui mtu jambo la kusikitisha kabisa mmoja wa viongozi wetu tuliyemwapisha tarehe 25/11/2019  ambaye ni mwenyekiti wa mtaa alivamiwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni  lakini tusiwe na hofu kwakuwa Serikali yetu ipo kazini vyombo vya usalama vipo imara wananchi ondoeni shaka “,.Alisema MKuu wa Wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa

 Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga amewasisitiza viongozi na kuwataka madiwani kushirikiana na viongozi wa kata ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo .

“Niwaombe viongozi kama alivyosisitiza Mkuu wa Wilaya sisi sote ni Viongozi naamini vibaka hawa wameongezeka kwa lengo kuu la kutaka kuzoofisha nguvu ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli ile ya kuwaachia huru wale wafungwa ili ionekane kwamba wale wafungwa ni sehemu ya kuongezeka kwa uharifu na mimi naamini Mhe Rais anania njema yakupunguza idadi ya wafungwa gerezani kwa lengo la kuwataka waje kufanya kazi za kuongeza pato la Taifa “,. Alisema Mustahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustapha Seleboss

  Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Tanga Meja Mstaafu Hamis Mkoba amewapongeza viongozi  wa Halmashauri wa Jiji la Tanga kwa jinsi wanavyoonesha upendo katika kuliendesha baraza la Madiwani .

Lengo kuu la Baraza hilo ni kusaidiana katika yale  maadhimio yaliyopitishwa na kamati mbalimbali kwa maslahi ya watu wa Jiji la Tanga.

Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga  Mustapha Seleboss akiwasisitiza Madiwani kushirikiana na viongozi wa kata kufichua waharifu.

Viongozi mbalimbali wa Jiji la Tanga wakiwa katika Baraza kujadili maadhimio yaliyopitiswa na kamati  mbalimbali .

Mkuu wa Wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa  akiwa na Mstahiki Meya Mustapha Seleboss pamoja na Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji wakiwa katika kikao cha Baraza la Madiwani. 

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.