• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wananchi Tanga washauriwa kutunza mazingira

Imewekwa: October 22nd, 2019

Wananchi Wa Jiji la Tanga wameshauriwa kushirikiana  vyema na  viongozi wa  Halmashauri ya Jiji hilo katika   kudumisha usafi  wa mazingira na kuacha kuwa na dhana potofu  kuwa manispaa na mabaraza ya Jiji ndio wanatakiwa kufanya hivyo  .

 Hayo yamesema na Mkurugenzi   wa Halmashauri ya Mji wa chakechake kutoka visiwani Zanzibar  Salma Hamad wakati wa ziara yao waliyoifanya jijini  Tanga ambapo amesema endapo wananchi watashirikiana  katika kutunza mazingira na kuyaweka katika hali ya usafi Tanga itapiga hatua kubwa katika maendeleo .

“Bila kukusanya mapato huwezi kuendeleza miradi ya maendeleo wala huwezi  kudumisha usafi wa mazingira lakini tukikubaliana kwa pamoja na tukaona hili nilakwetu kiujumla itakuwa kila siku tunapiga hatua  kwaajili ya kuyaendeleza haya lakini sisi manispaa  pamoja na mabaraza tutazidi kuhakikisha huduma kwa wananchi  zinapatikana kwa urahisi “,.alisema Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji wa Chakechake  kutoka visiwani Zanzibar

Kwa upande wake  Diwani wa Mji wa Chakechake  kutoka visiwani Zanzibar  Ally Yussufu  ameishukuru Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa mapokezi mazuri waliyowaonyesha nana kuwapongeza kwa  jinsi wanavyotekeleza miradi ya maendeleo .

“Tunashukuru sana kwa mapokezi mazuri mliotuonesha lakini pia nimshukuru sana Afisa Mahusiano wa Jiji la Tanga kwani tumekuwa nae toka asubuhi mpaka sasa saa 12 hachoki na nimtendaji mkubwa kazini “,.Alisema Ally Yussufu Diwani kutoka Zanzibar

Nae Mohamed Ally ambaye ni Daktari kutoka Visiwani Zanzibar amesema  wamejifunza vitu vingi ambavyo wanaahidi kwenda kuvifanya pindi watakaporejea Zanzibar .

wawakilishi hao  waliweza kufanya ziara katika miradi mbalimbali ikiwemo Kituo cha matangazo ya runinga cha Tanga tv,Dampo,duka la dawa la Halmashauri ,Shule ya sekondari ya Usagara,kituo cha afya Ngamiani ,kiwanda cha matofali pamoja na stendi ya Kange na  Lengo kuu la ziara hiyo ni kuja kujifunza mambo mbalimbali ya kimaendeleo kutoka Jijini Tanga 

Kiwanda cha matofali kilichopo Jijini Tanga


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.