• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wanafunzi wahimizwa kuweka juhudi masomo ya Sayansi

Imewekwa: December 4th, 2019

Mstahiki Meya wa Jiji La Tanga Mustapha Seleboss amewataka Wanafunzi kuweka juhudi katika kusoma masomo ya Sayansi ili kuwa wajuzi na kuingia katika soko la dunia kwa kupitia masomo hayo .

Seleboss amesema hayo wakati wa sherehe za wiki ya Sayansi Afrika ambayo imejumuisha Nchi 32 za Afrika naTanzania ikiwa inafanyika katika Mikoa ya Dar es salaam ,Tanga na kumalizika katika Mkoa wa Arusha.

“Daktari ni moja ya sifa inayotokana na Sayansi tunaamini Daktari ni bigwa wa masomo hayo kwaiyo leo mnaandika historia kubwa kwakuwa mmehudhuria sherehe za kuazimisha wiki ya Sayansi Afrika  lazima mkumbuke kuwa mmepewa heshima kubwa kwakuwa kuna wanafunzi wengi hapa Tanga lakini umechukuliwa wewe lazima kile ulichoitiwa leo ukiweke katika kichwa chako na ili tusimwangushe daktari lazima tuwe wa kwanza katika masomo ya sayansi  kwa Mkoa wa Tanga  “,.Alisema Mustapha Seleboss

Sambamba na hayo Seleboss amewapongeza madaktari hao kwa kuanzisha mafunzo hayo kwa vitendo kwani yatawasaidia wanafunzi kujua vitu mbalimbali kwa urahisi zaidi .

Lwidiko Edward ni Balozi wa Next Einstein Forum Nchini Tanzania amewashukuru Viongozi wa Mkoa wa Tanga kwa mapokezi waliowaonesha na kusema  kuwa lengo kuu la wiki Sayansi Afrika ni kuwafanya wanafunzi kuijua sanyansi wakiwa na umri mdogo na kuachana na dhana ya kusema Sayansi ni ngumu .

“Hili ni Baraza ambalo limejikita kuhakikisha Elimu ya Sayansi inapewa kipaumbele kwa Afrika na kuhakikisha vijana tangu umri mdogo wanaijua elimu hii  “,.Alisema Lwidiko Edward ni Balozi wa Next Einstein Forum Nchini Tanzania

Maadhimisho ya wiki ya Sayansi Afrika  kwa Mkoa wa Tanga yamefanyika hii leo ya tarehe 4/12/2019 katika shule ya Msingi Changa ambapo yalianzia katika Mkoa wa Dar es Salaam 3/12/2019  na yanatarajia kumalizika katika Mkoa wa Arusha tarehe 6/12/2019 .


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.