• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

"WAHESHIMIWA MADIWANI WASAIDIENI WATENDAJI" - MSTAHIKI MEYA

Imewekwa: May 10th, 2018

Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Mustafa Seleboss amewataka Waheshimiwa Madiwani kutoingilia shughuli ya watendaji wa Halmashauri wa Jiji hilo na badala yake wawasaidie kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Amesema hayo leo kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Jiji hilo.

“Waheshimiwa madiwani wenzangu, tafadhalini msiingilie shughuli za watendaji wetu, kama watendaji wamekuja kufanya kazi kwenye kata yako wape ushirikiano, lakini isiwe wewe ndio unakuwa kikwazo kisa eti wananchi hao ni wapiga kura wako wasisumbuliwe; hiyo hapana. Kama kuna shida ya kuelimishana wewe kama wahesimiwa madiwani, muwasaidie watendaji hawa” alisema Meya huyo.

Yamesemwa hayo kutokana na baadhi ya Waheshimiwa Madiwani kuwatetea wananchi wao pale wanapotakiwa kulipia tozo za huduma, hasa za uzoaji wa taka ngumu. Baadhi ya wananchi wamekuwa wakikwepa kulipia tozo za huduma ya usafi, hivyo kupelekea watendaji kuwafuatilia na kuwataka kulipia tozo za huduma hiyo, hapo ndipo kunapapotokea baadhi ya Waheshimiwa Madiwani kuingilia kati na kuwataka wananchi hao wasilipie huduma kwa sababu mbalimbali.

Kwa upande wa Waheshimiwa Madiwani nao walitoa ushauri wa namna nzuri ya kukusanya tozo hizo pamoja na uboreshaji wa huduma ili kuondoa hali ambayo imekuwa ikijitokeza baina ya wananchi na watendaji hao wakati wa kukusanya tozo hizo. Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, ambaye ndiye msimamizi wa shughuli za Jiji hilo amepokea ushauri huo na kuahidi kuendelea kutoa huduma kwa wananchi bila ya kukwazana.

Halmashauri ya Jiji linatoa huduma ya usafi wa mazingira, ikiwa ni pamoja na kuzoa takataka kutoka kwenye kaya, maduka, migahawa, hoteli na maeneo ya soko ndani ya jiji hilo. Huduma hii huwa inalipiwa kwa mwezi kulingana na sehemu husika.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.