• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Waandishi Habari msio na Diploma mkasome

Imewekwa: January 7th, 2020

Waziri wa habari Utamaduni sanaa  na michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe amepongeza tasnia ya habari nchini kwa juhudi za kuhabarisha watanzania juu ya mambo mbalimbali ikiwemo utendaji  kazi wa Serikali.

Waziri mwakyembe ameyasema hayo wakati akizungumza na wadau wa vyombo vya habari Mkoa wa Tanga ambapo amesema kuwa watanzania wana imani na tasnia hiyo hivyo ni wakati kwa waandishi wa habari kuzitumia vema kalamu zao na kudumisha amani nchini.

Dkt Mwakyembe  amewataka wananchi kujua kuwa fani ya uandishi  wa habari ni kazi ambayo inathamani  na kuwataka kuacha  kuwadharau waandishi wa wahabari  sambamba na kuwakumbusha waandishi ambao hawana diploma kwenda kusoma .

“Tumetunga sheria ambayo inawataka wanahabari kuwa na taaluma ya diploma ili  tuondokane na dhana ya  kuwa kila mtu akifeli sekondari anaambiwa  akasome tu uandishi wa habari na ndio maana wanahabari tunadharaulika “,.Alisema Mwakyembe

Pia Dkt . Mwakyembe amepiga marufuku kwa  wasimamizi wa mabasi ya abiria  ikiwa ni pamoja na madereva na makonda kupiga nyimbo ambazo zimezuiwa na serikali zisioneshwe kwenye runinga kwani zinavunja maadili ya Kitanzania .

“Ni marufuku kwa basi lolote la abiria kuonesha picha za  ovyo ambazo tumezizuia zisioneshwe kwenye runinga mchana basi ni chombo  ambacho kinapakia kila mtu kwaiyo ni lazima tuchukue hatua kali sana hatupo tayari kuharibu watoto wetu  “,.Alisema Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe

Lengo la ziara ya Waziri wa Habari Utamaduni  Sanaa na Michezo kuja katika Mkoa wa Tanga ni kufuatilia usikivu wa redio ya Taifa katika Mikoa mbalimbali na kwa kuanza wameanzia Mkoani Tanga  ambapo pia waliweza kutembelea katika kituo cha matangazo cha Tanga Televisheni na kukipongeza kwa utendaji kazi wake .


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na  Dkt. Harrison Mwakyembe  akiwasisitiza wanahabari wasio na Diploma  kwenda kusoma .


Wadau mbalimbali wa habari wakimsikiliza Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.