• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

VIPINDI VYA DINI SHULENI VITUMIKE KUTOA ELIMU YA UKIMWI: NAIBU MEYA

Imewekwa: October 18th, 2022

Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti UKIMWI Jiji la Tanga, Mhe. Mwanaidi Kombo ameshauri kutengwa kwa muda ndani ya vipindi vya dini vinavyofundishwa katika Shule za Msingi na Sekondari, kwa ajili ya kutoa elimu ya masuala ya Ukimwi na kupiga vita aina zote za unyanyapaa.


Ushauri huo ameutoa leo, jumatatu Oktoba 17, 2022 wakati akifungua kikao cha ziara ya Kamati kutembelea shughuli zinazofanywa na wadau katika kupambana na Ukimwi ndani ya Jiji la Tanga.


Mheshimiwa Kombo, ambaye pia ni Naibu Meya wa Jiji la Tanga na Diwani wa Viti Maalum kutoka Kata ya Central, amesema kama viongozi wa dini wakitumia sehemu ya muda wao wawapo katika vipindi mashuleni kwa kutoa elimu ya kujikinga, athari na kuzuia unyanyapaa, itasaidia kuwajenga vijana na kujitambua mapema.


Kamati ya Kudhibiti Ukimwi ambayo inaundwa na baadhi ya Madiwani, Asasi zinazoshughulikia Ukimwi, wadau na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo vya Halmashauri, imetembelea Kituo cha 4H Kange, Kamati ya Ukimwi Kata ya Usagara na kukutana na Baraza la Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (KONGA), pamoja na Waraibu wa dawa za kulevya wanaoendelea kupata nafuu.


Katika Kituo cha 4H Kange, kamati ilijionea mradi wa kuwawezesha ujuzi wasichana waliopata ujauzito shuleni na kukatiza masomo yao, ambapo kituo kinawafundisha kazi za ushonaji nguo na elimu ya afya, wahitimu wakizawadiwa cherehani.


Akizungumzia utendaji wa Kamati za Ukimwi ngazi ya Kata, Mratibu wa Ukimwi kwa Jiji la Tanga Bw. Moses Kisibo amezitaka Kamati hizo kufanya kazi kwa bidii kuisaidia jamii na kwamba wawatake madaktari kuwapa takwimu za hali ya maambukizi mapya katika maeneo yao ili kuwa na taarifa iliyokamili.


Kamati ya Ukimwi kupitia Jiji la Tanga inakusudia kutoa ruzuku kwa vikundi vya KONGA na Waraibu wa dawa za kulevya ili kuwawezesha kuanzisha miradi ya kiuchumi.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.