• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Uzinduzi wa majengo ya Hospitali ya Bombo Mkoani Tanga

Imewekwa: August 2nd, 2019

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamiij  Jinsia Wazee na Watoto Mhe Ummy  Mwalimu  amezindua Majengo mawili moja likiwa ni  jingo  la Dharura na Jengo jingine kwaajili ya wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Rufaa Bombo Mkoani Tanga.

Mhe.Ummy Mwalimu pia amepata nafasi ya kuwapongeza watendaji wa Wizara ya Afya pamoja na uongozi mzima wa Hospitali ya Rufaa ya Bombo iliyoweka historia ya kuleta mapinduzi ya upatikanaji wa huduma za Dharura na huduma kwa ajili ya wagonjwa mahututi katika hospitali za rufaa za Mikoa.

Mhe.Ummy Mwalimu amewashukuru wadau wa Abort ambao wamewezesha kujenga jengo  la dharura pamoja na kununua vifaa na kusema kuwa ukijenga huduma za dharura unaokoa maisha kwa asilimia 40.

Amesisitiza Mhe.Ummy Mwalimu  kuwa katika mkoa wa Tanga wanajenga Hospitali za Wilaya Tatu Ikiwemo Tanga jiji,Muheza na Korogwe pia wameboresha na kujenga vituo vya Afya kumi na tisa na jiji la Tanga wamepata vituo vinne.

Hata Hivyo Waziri Ummy Mwalimu amesema kuwa wao kama Wizara ya Afya wataendelea kuhakikisha wanaboresha huduma za Afya katika ngazi zote katika ngazi za msingi na sekondari ngazi ya kati pamoja na Hospitali ya Taifa.

Kwa upande  wake Dkt.Leonard  Subi ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto amesema kuwa wao kama wizara wanaangalia zaidi Ubora kwasababu wanaamini wanapoboresha huduma za Dharura  viwango vya vifo vinapungua kwa asilimia  arubaini.

“kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga tayari wana Daktari bingwa mmoja Ambae amepata mafunzo ndani ya Nchi na uzuri ni kwamba Hospitali yetu ya Rufaa ya Kitaifa Muhimbili ina chuo chetu kikuu kimekuwa kinatoa mafunzo kwa Wanafunzi na hivi sasa  tuna Wanafunzi takribani ishirini na tisa ambao wanaendelea na mafunzo haya ya dharura katika chuo chetu “Ameyasema hayo Dr  Leonard  Subi.

Dkt. Subi ameendelea kusema kuwa Mikoa na Halmashauri waendelee kutenga fedha ili waendelee kupeleka wataalamu na watoa huduma za Afya kwenda kujifunza namna ya kutoa huduma  bora  za Dharura kwa wananchi.

Katika ufunguzi huo Mhe.Ummy Mwalimu amesema mipango hii ni endelevu kwa Mikoa mingine kwani hata Hospitali mpya za Rufaa za Mikoa ambazo Mhe.Rais alitoa fedha zinaangalia sanas wala  la huduma za dharura na huduma zote muhimu zinakuwepo na kwa kufanya hivyo zitajenga uwezo Hospitali za  Wilaya na hatimaye vituo vya afya kwani zaidi ya vituo 352  vimekarabatiwa ndani ya miaka miwili katika nchi yetu ya Tanzania.


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.