• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Uandikishaji wanukia Jijini Tanga wananchi jitokezeni

Imewekwa: January 20th, 2020

Wananchi katika Jiji la Tanga wametakiwa kujitokeza katika Uandikishaji na Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ifikapo tarehe 23 mpaka 29 ya mwezi wa kwanza katika vituo vya kujiandikishia .

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi  Msaidizi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Rose Maro wakati akizungumza na Tanga televisheni .

kaimu Mkurugenzi  Msaidizi wa Tume ya Uaifa ya uchaguzi Rose Maro amesema ni vyema kwa mtu mwenye vigezo vya kujiandikisha akajitokeza na kufanya hivyo kwani ni haki yake ya msingi .

“Alhamisi hii tunatarajia kuanza Uandikishaji katika Jiji hili la Tanga kwahiyo wale wote ambao wametimiza umri wa kujiandikisha wanatakiwa kujitokeza ili kuweza kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwani maendeleo yanakuja kwa kumchagua kiongozi anayefaa na bila kujiandikisha huwezi kumchagua yule anayekufaa “,.Alisema kaimu mkurugenzi  msaidizi wa tume ya taifa ya uchaguzi Rose Maro

 Kaimu huyo ameongeza kuwa kwa wale wote waliopoteza kadi zao za kupigia kura na zile zikatika wasisite kujitokeza ili kuweza kupata kadi nyingine .

Kwa upande wake Afisa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Daniel Kalinga ameziainisha  adhabu ambazo mtu atazipata endapo hatafuata Sheria kwa kujiandikisha zaidi ya mara moja .

“Ieleweke katika zoezi hili linaloendeshwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi tunapewa kadi palepale lakini ni kosa kujiandikisha zaidi ya mara moja tunaomba waweze kujiandikisha kwenye kituo kimoja kwani unaweza ukalipa faini ya shilling laki moja hadi laki tatu au kifungo au vyote kwa pamoja “,.Alisema Afisa uchaguzi kutoka tume ya Taifa ya Uchaguzi Daniel Kalinga

Uandikishaji pamoja na Uboreshwaji wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura katika Jiji  la Tanga unatarajia kuanza tarehe 23 mpaka 29 ya mwezi huu,Wananchi wanatakiwa kujitokeza ili kuweza kupata nafasi ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu .

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.