• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Uandikishaji katika daftari waanza rasmi

Imewekwa: October 10th, 2019

 Katibu Tawala wa mkoa wa Tanga  Mhandisi Zena  Saidi amewaasa wananchi wa Jiji la Tanga kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la orodha la  wapiga kura  ili waweze kupata nafasi ya kuchagua viongozi wanaowataka .

Mhandisi Zena ameyasema hayo wakati alipokuwa akijiandikisha katika daftari la orodha la  wapiga kula katika mtaa wa Raskazoni amesema sifa ya mpiga kura lazima awe amejiandikisha .

“Msikubali mtu yeyote akawashawishi au  akawadanganya kwamba ukiwa na  kitambulishi cha kupigia  kura  basi tayari wewe  unahaki ya kupiga kura  ni lazima ujiandikishe katika mtaa wako “,.Alisema Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Zena Saidi

 Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga Daudi Mayeji amesema katika vituo hakuna foleni ndefu ambayo itamfanya mtu akakaa kwa muda mrefu hivyo wananchi wajitokeze kwa wingi kwani kujiandikisha ni haki yako ya msingi .

Mkurugenzi huyo ameendelea  kuwasisistiza wananchi wa Jiji la Tanga kufuata taratibu za uandikishaji ikiwa ni pamoja na kujiandikisha mara moja katika mitaa yao wanayokaa ili kutopoteza sifa za kupiga kura  .

“Ukijiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la kisheria na hatua kali zitachukuliwa kwako ni vizuri kila mwananchi akatumia fursa hiyo kwenda kujiandikisha ili aweze kutumia haki yake kupiga kura “,.Alisema Daudi Mayeji Mkurugenzi wa Halmashauri ya  Jiji la Tanga

Mayeji amesema  vituo vya kujiandikishia vinafunguliwa saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni hivyo wananchi wananamuda mrefu wa kujitokeza na kujiandikisha hakuchukui muda mrefu .

Uandikishaji katika daftari la orodha ya wapiga kura umeanza rasmi tarehe 8   utamalizika tarehe 17 ya mwezi huu wa 9 hivyo wananchi wote jitokezeni  wa wingi kujiandikisha ili kuweza kupata viongozi watakaoleta maendeleo katika mitaa yenu .

  

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga akijiandikisha katika daftari la orodha ya wapiga kura 


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.