• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

"Tuachane na matumizi ya Mifuko ya rambo" DC Tanga

Imewekwa: June 3rd, 2019

Maadhimisho ya situ ya Mazingira Duniani 2019 katika jiji la Tanga yamefanyika shule ya sekondari  Kimono kata ya Mzizima ikiwa na kauli mbiu "Tumia Mifuko mbadala wa Plastiki kwa Ustawi wa Afya, Mazingira na Maendeleo ya Uchumi."

Katika maadhimisho hayo Mkuu wa wilaya ya Tanga Mh  Thobias Mwilapwa ambaye  amesema ni maruku kwa mtu yeyote  kutumia mifuko ya plastikI  maarufu kama Rambo kutokana na madhara yanayopatikana katika mifuko hiyo, amesema hayo katika maadhimisho ya kilele cha siku ya mazingira duniani yenye kauli mbiu "Tumia mfuko mbadala wa Plastiki kwa Ustawi wa Afya, Mazingira na Maendeleo ya Uchumi" yaliyofanyika shule ya Sekondari Kiomoni  iliyopo kata ya Mzizima jijini Tanga.


Mhe.Mwilapwa amesema kuwa utunzaji wa mazingira  uplekea kuleta  uoto wa asili  ambio ni muhimu  kwa hewa inayovutwa  na kupunguza  hali ya joto, pia  kulinda  vyanzo  vya maji  ili kuepuka uhaba wa maji na kurudisha nyuma jitihada za maendeleo viwanda.Pia amezitaka shule za sekondari  kuwa mfano  na kufanya  kampeni za kuokota hiyo popote ilipo na kupelekwa mahali palipo chaguliwa   na Halmashauri ya jiji la Tanga   na kuhifadhiwa kwa ajili ya kupelekwa mahali maalum  kwa shughuli  ambayo itabuniwa.


Aidha Mratibu wa mradi wa kunusuru vyanzo vya Maji(SLM Project) Mhandisi Maximillian Sekera amesema atawapatia klabu ya Mazingira ya shule ya Kimono Tsh.Mil.5 za mafunzo ya mazingira pamoja na kuwajengea gata ya kuvunia majo ya mvua na kuweka tendí Mkubwa la majo ili kuweza kumwangilia Bustani zao na miti iliyopandwa.

Hata hivyo amesema  ifikapo tarehe 1 juni 2019 wilaya ya Tanga itatekeleza agizo lililotolewa na Waziri Mkuu Mhe  Kassim Majaliwa kwa kutoa elimu juu ya matumizi ya mfuko mbadala wa plastiki na kuokota mifuko yote  iliyopigwa marufuku.


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.