• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

TIMU ZA JIJI TANGA ZAJIPANGA USHINDI SHIMISEMITA

Imewekwa: October 13th, 2023

Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Bw. Said Majaliwa amezitembelea timu za mpira wa miguu na netiboli (pete) za Jiji la Tanga zinazojiandaa na mashindano ya michezo na sanaa za maonesho, ya Shirikisho la Michezo ya Watumishi wa Serikali za Mitaa (SHIMISEMITA), yanayotarajiwa kufanyika baadae mwezi huu, huko Jijini Dodoma.


Mkurugenzi Majaliwa alianza kwa kuitembelea timu ya netiboli (netball) inayofanyia mazoezi yake katika Uwanja wa Polisi Chumbageni, baadae alielekea Uwanja wa Shule ya Sekondari Galanos, sehemu inapofanyia mazoezi timu ya mpira wa miguu.


Akiwa katika viwanja vyote hivyo, Majaliwa alipata nafasi ya kuangalia mazoezi ya timu hizo, na baadae kuongea na wanamichezo hao, ambapo alieleza kuridhishwa kwake na maandalizi yanayoendelea, na aliwaahidi kuwa pamoja nao katika kipindi hiki cha maandalizi na wakati wote wa mashindano, huku akiwataka kuzingatia mazoezi na kuwaheshimu walimu wao (makocha), ili timu hizo zirudi na ushindi.


Mkurugenzi Majaliwa ambaye ni mwanamichezo na ambaye pia aliwahi kuwa kiongozi katika michezo, amewataka wanamichezo hao kuliwakilisha Jiji vizuri kwa kuwa na nidhamu wakati wote wa mashindano. Amesema hatafurahi kusikia mtumishi kutoka Jiji la Tanga akionekana au kupatikana katika matendo yasiyofaa kwa mtumishi wa umma, hivyo wanapaswa kuzingatia nidhamu wakijua wanaiwakilisha Halmashauri yao.


Mkurugenzi Majaliwa ametoa ahadi ya kuinunulia timu ya mpira wa miguu viatu vipya vya kuchezea mechi ya kwanza, kama chachu ya kuamsha ari ya wachezaji hao.


Katika ziara hiyo, Mkurugenzi wa Jiji la Tanga aliongozana na Afisa Michezo wa Jiji, Bw. Michael Njaule, Kiongozi wa Timu, Bw. Jamal Minja, Afisa Utumishi Bw. Ally Ulaya na Afisa Habari wa Jiji, Bw. Mussa Labani.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.