• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Tanzania yetu yazinduliwa Tanga televisheni

Imewekwa: December 16th, 2019

Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga Mustapha Seleboss amewaasa wananchi wa Jiji hilo kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii  vilivyopo nchini ili kuendelea kuvitangaza  na kujifunza  mambo yanayopatikana katika vivutio hivyo .

Mstahiki Meya  ameyasema hayo katika uzinduzi wa kipindi cha utalii cha Tanzania yetu kilichozinduliwa katika ukumbi wa Tangamano ambapo amesema ni muhimu kwa watanzania wenyewe kutangaza utalii wa nchi yao na si kusubiri kutangaziwa na watu wengine.

“Huu ni utamaduni wa kujivunia watanzania na hatutakiwi kusubiri wenzetu waje kufanya utalii   tunapaswa kufanya utalii kwenye vivutio vyetu lakini kitu kizuri na sisi watu wa tanga tunatakiwa kuonesha utalii wetu katika halmashauri ya Jiji letu kwaiyo niwapongeze  tanga tv kwa kuanzisha kipindi hiki kwani naimani watu watajifunza mengi  kuhusu utamaduni wa Tanga na na sehemu nyingine   “,.Alisema Mstahiki wa Jiji la Tanga Mustapha Seleboss

 Nae Mkurugenzi wa Halmashaurii wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji  amewaasa waandishi wa vyombo vingine vya habari kuwa na ushirikiano wa kutosha ili kuweza  kuitangaza zaidi tanga na kuhabarisha jamii kuhusiana na utalii wa Nchi pamoja na Jiji la Tanga  .

“Tanga televisheni ni kituo kinachotoa huduma kwaiyo niwaombe wananchi waendelee kuangalia Tanga televisheni na kufahamu vitu vinavyotokea katika Jiji hili na pia vyombo vingine vya habari vinavyotoa huduma kwa jamii  viendelee kuhabarisha watanzania kutembelea hifadhi zetu “,.Alisema Daudi Mayeji  Mkurugenzi wa Jiji la Tanga

Kwa upande wake Mkuu wa kituo cha matangazo cha Tanga Televisheni  Tusa Daniel  ameeleza kazi kubwa ya kituo hicho kuwa ni kutoa elimu,kuhabarisha ,  pamoja na kuburudisha jamii .

“Uanzishwa wa kipindi cha Tanzania yetu ambacho leo kinazinduliwa kinalengo la kuhamasisha watanzania kujenga utamaduni wao wakufanya utalii katika hifadhi mbalimbali za taifa nchi kwetu Tanzania “,.Alisema Mkuu wa Kituo cha Matangazo cha Tanga televisheni  Tusa Daniel

Kipindi cha utalii cha Tanzania yetu  kilichoanzishwa na kituo cha matangazo cha Tanga televisheni  kina  lengo la kuhamasisha utalii kitarushwa kila siku ya Jumanne saa 5 asubuhi na kurudiwa siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi .


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.