• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

TANGA WAIPOKEA BOOST

Imewekwa: May 11th, 2023

Wakazi wa mitaa itakayonufaika na mradi wa BOOST unaoboresha mazingira ya upatikanaji wa fursa sawa katika ujifunzaji bora wa Elimu ya Awali na Msingi katika Jiji la Tanga kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023, wameeleza kufurahishwa kwao na ujio wa mradi huo utakaowawekea mazingira mazuri watoto wawapo shuleni.


Wakazi hao wameeleza hisia zao na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jinsi anavyotoa umuhimu mkubwa katika elimu kwa kuelekeza fedha nyingi kwa ujenzi wa shule mpya, ukarabati wa shule kongwe, mabweni, vyoo na miundombinu mingine huku akitoa ajira kwa walimu.


"Kwa mfano Mama alitoa Billion nyingi kujenga vyumba 8000 vya kuwapoke wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka huu, na fedha za mambo ya sherehe (Sherehe za Uhuru 9 Desemba 2022) akasema zikajenge mabweni kwa wenye mahitaji maalum" alisisitiza mkazi mmoja wa kata ya Duga.


Katika kuhakikisha zoezi la utekelezaji wa mradi wa BOOST linafanyika vizuri, Kamati ya utekelezaji ngazi ya Halmashauri imeendelea na mikutano yake kwa mitaa yenye miradi kwa lengo la kuutambulisha mradi,  ambapo katika siku ya Jumatano, Mei 10, 2023, kamati ilifanya mikutano katika shule ya Msingi Msala iliyopo mtaa wa Masiwani Shamba, Kata ya Masiwani na Shule ya  Mapambano, iliyopo mtaa wa Swahili, Kata ya Magaoni, ambapo katika shule hizo, kila moja itajengewa vyumba vitatu vya madarasa, na matundu ya vyoo, Msala ikipata matundu 6, na Mapambano matundu 3.

Matangazo

  • MWENGE WA UHURU TANGA JIJI May 29, 2023
  • MUDA WA NYONGEZA KULIPA KODI YA PANGO LA ARDHI BILA RIBA February 16, 2023
  • UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KWA DARASA LA AWALI NA LA KWANZA 2023 December 09, 2022
  • MSAMAHA WA RIBA KWA KODI YA PANGO September 28, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA FEDHA YAKAGUA MIRADI YA TASAF

    May 29, 2023
  • MEYA SHILOOW KUONGOZA ALAT MKOA WA TANGA

    May 24, 2023
  • TANGA WAIPOKEA BOOST

    May 11, 2023
  • MKUU WA WILAYA AONGOZA KIKAO TATHMINI YA LISHE

    May 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.