• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Tanga waendelea kujitokeza katika uandikishaji

Imewekwa: October 11th, 2019

 Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela amewaasa wananchi wa Jiji la Tanga kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la orodha la wapiga kula ili waweze kuwachagua viongozi wanaowafaa  .

Shigela amesema hayo wakati alipokuwa akijiandikisha katika mtaa wa Raskazone amesema ni vyema wananchi wakajiandikisha mapema kusubiri muda wa kupiga kura utakapowadia waweze kupiga kura .

“Uandikishaji katika Jiji la Tanga unaendelea  vizuri kwani watu wanajitokeza kujiandikisha  mpaka leo  34% ya watu wamejiandikisha sina budi kuwasii wananchi ambao bado hawajajiandikisha kujitokeza kwani ni vyema wakachagua wenyewe na sio kusubiri kuchaguliwa ukichaguliwa unakosa haki ya kumchagua uliyekuwa unamtaka “,.Alisema Martine Shigela Mkuu wa Mkoa wa Tanga

Shigela amesema muda wa vituo kufunguliwa kwaajili ya kujiandikisha  kuanzia saa 2:00 asubuhi mpaka saa 12:00  jioni na kujiandikisha hakuchukui muda mrefu ili tarehe 24 mwezi wa 11 washiriki kuchagua viongozi wao wa mitaa  .

Kwa upande wake msimamizi wa uchaguzi  wilaya ya Tanga Ramadhani Possi  amesema hali ya hewa ndio kikwazo kikubwa kinachosababisha watu kutojitokeza kwa wingi katika vituo vyao vya kujiandikishia .

“Tatizo kubwa ambalo linasababisha watu wasijitokeze kwa wingi kwenda katika vituo kujiandikisha ni hali ya hewa kumekuwa na mvua zinazoendelea kunyesha kuanzia tulivyoanza zoezi hili kama hali ya hewa itakuwa vizuri tunatumaini watu wengi watajitokeza kujiandikisha “,.Alisema Ramadhani Possi msimamizi wa uchaguzi Wilaya ya Tanga

Zoezi la uandikishaji katika daftari la orodha ya wapiga kura limeanza rasmi tarehe 8 na linamalizika tarehe 17 ya mwezi huu wa kumi hivyo wananchi mnapaswa kujiandikisha kwani kura yako moja ndio maendeleo ya mtaa wako na Taifa kwa ujumla.

 

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela akipeana mkono na waandikishaji katika kituo cha Raskazoni

Msimamizi  wa uchaguzi Wilaya ya Tanga Ramadhani Possi akiwaasa wananchi kujitokeza katika uandikishaji katika daftari la orodha ya  wapiga kura 



Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.