• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Tanga kuchukua tahadhari ya Corona katika uandikishaji

Imewekwa: April 17th, 2020

Zoezi la uandikishaji katika dafrati la kudumu la mpiga kura katika Mkoa wa Tanga limeanza  hii leo huku tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wa afya kuhusu ugonjwa wa corona zikiwa zimezingatiwa .

Akizungumza na tanga televisheni  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Nchini Mh. Jaji  Semistocles Kaijage aliweza kumpongeza  Afisa mwandikishaji wa Tanga Jiji Daudi Mayeji jinsi  alivyochukua tahadhari za ugonjwa wa Corona katika zoezi hilo la uandikishaji.

"zoezi la kuandikishaji katika daftari la kudumu la wapiga kura limeanza vizuri katika mikoa yote kumi na mbili katika mzunguko huu wa kwanza na katika Mkoa wa Tanga naona Tahadhari zote zilizoelekezwa na wataalamu wa afya zinazingatiwa elimu ya mpiga kura katika Jiji hili imetolewa vizuri sana "Alisema  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Nchini Mh. Jaji   Semistocles Kaijage

Mbali na hayo pia Mwenyekiti huyo alisema wananchi wa Jiji la Tanga wameonesha mwamko mzuri katika kujitokeza kujiandikisha katika vituo vyao  na wameweza kuchukua tahadhari zote .

"Mkurugenzi na watu wako nikushukuru sana kwani mmefanya kazi nzuri sana kwa kuweza kufanikisha jambo hili lakini kwa tahadhari ambazo mmeweza kuzichukua "Aliongeza Mwenyekiti huyo

Pia aliweza kutoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Tanga kuendelea kuzingatia tahadhari zote zinazotolewa na wataalamu wa afya juu ya ugonjwa wa Corona .

(Wananchi nawaomba wawe na uhakika na vituo ambavyo tumeviandaa kwani tahadhari zote zimewekwa na wenyewe niwaombe waendelee kuzingatia tahadhari )Alisema Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura awamu ya pili limeanza leo katika mikoa 12 nchini huku ikiwa Mkoa wa Tanga ni Moja kati ya Mikoa hiyo .

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.