• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Tanga Jiji yafikia 84% ya mapato

Imewekwa: September 26th, 2019

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya  Jiji la Tanga limekutana leo Alhamisi Jijini hapa  kujadili hesabu za mwisho wa  mwaka wa fedha 2018/2019.

Akifungua baraza hilo Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga  Mustapha Selebos amesema Halmashauri ya Jiji la Tanga imefikia lengo la mapato yake ya ndani  kwa 84% na  kuwataka Viongozi pamoja na wakuu wa idara kuongeza juhudi  ili kufikia 100% ambayo ndio lengo kuu .

“Kwanza niwashukuru waheshimiwa Madiwani sifa hizi ni zetu sote  tumevumiliana sana katika kazi  na siri kubwa ya mafanikio haya ni kwenu waheshimiwa Madiwani kwasababu tumeangalia Tanga  kwanza”,.Alisema Mustapha  Selebos

Mustahiki Meya  amesema kuwa  viongozi wa Jiji la Tanga  wamekuwa na umoja ambao haujaangalia  vyama wanavyotoka   kitu ambacho ni kizuri katika kuleta maendeleo katika Jiji na Mkoa kwa ujumla .

 

“Tumeanza vizuri sana lakini tunatakiwa tunapokutana tena tuzungumzie asilimia kubwa zaidi ya hapa tulipo kwahiyo tunaporudi katika maeneo yetu sisi tuwe sehemu ya kuwahamasisha watu kulipa kodi ”,.Alisema Mstahiki Meya

Aidha Mstahiki Meya  ametoa wito kwa Madiwani kukagua vitambulisho vya wafanyabiashara wadogowadogo  ili kuweza kuwatambua wafanyabiashara wanaofaa kupewa vitambulisho kwani kumekuwa na wafanyabiashara wasiokidhi vigezo vya  kumiliki vitambulisho hivyo hususani wavuvi .

Mkutano huo maalumu wa madiwani  wakujadili hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha  2018/2019, Pia Halmashauri ya Jiji la Tanga imejipanga kuongeza zaidi mapato  kwa kuibua vianzia mbalimbali vya mapato   ikiwemo mradi wa kufyatua matofali kwa kutumia mashine za kisasa na kuuza matofali hayo kwa wadau mbalimbali kwa mwaka wa fedha 2019/2020

 .       Madiwani Jijini Tanga wakiwa katika kikao cha mwisho kwa mwaka wa  fedha  2018/2019.

         Wakuu wa idara wakiwa makini kusikiliza katika kikao cha mwisho kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.