• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

SHULE MPYA MCHEPUO WA KIINGEREZA KUJENGWA MAWENI

Imewekwa: April 5th, 2023

Halmashauri ya Jiji la Tanga imetenga kiasi cha shillingi million 250 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya ya awali na msingi ya mchepuo wa Kiingereza katika Kata ya Maweni, ambapo kiasi hicho cha fedha tayari kimekwisha ingizwa katika akaunti ya Shule ya Msingi ya Saruji, ambayo ni shule jirani, kwa ajili ya kusimamia ujenzi wa shule hiyo mpya.


Akizungumza na Tanga Television, wakati wa ziara ya Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Mohamed Mfundo amesema shule hiyo inajengwa katika eneo hilo ikiwa pia ni namna ya kupanua huduma katika Jiji la Tanga.


Amesema Jiji la Tanga linatakiwa kutanuka, na ujenzi wa majengo yote kuwa mjini, kunalifinya Jiji, hivyo ni lazima huduma zingine ziende pembezoni mwa mji.


"Tuna Shule kama hizi za English medium mbili katika Halmashauri yetu. Tuna mpango katika bajeti hii tuongeze moja, na bajeti ijayo tumepanga tupate zingine mbili, at least zifike shule tano za English medium ambazo zitakuwa chini ya Halmashauri yetu ya Jiji." Amesema Mfundo.


Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu pia ilitembelea eneo la Shule ya Sekondari MACECHU iliyopo Kata ya Chumbageni kuona na kuchukua hatua za kudhibiti mmomonyoko wa udongo katika mfereji wa maji ya mvua unaopita karibu na ukuta wa jengo la madarasa na kutishia uimara wa jengo hilo.


Kamati pia ilitembelea eneo la Kange karibu na stendi kuu ya mabasi, panapojengwa  soko la wafanyabiashara wadogo-wadogo (Wamachinga) kukagua utekelezaji wa mradi huo.


Wakiwa katika mradi huo, Mchumi wa Jiji la Tanga, Bw. Vedastus Mzee aliiambia kamati kuwa, mradi huo unaojengwa kwa awamu, utakapo kamilika utagharimu kiasi cha zaidi ya shillingi Billion 7, na mpaka sasa tayari umetumia kiasi cha zaidi ya shillingi million 600, kati ya hizo shillingi million 540 ni fedha za kutoka Serikali Kuu, huku Halmashauri ikitenga fedha kutoka mapato ya ndani shillingi million 400 kwa ajili ya kuendelea na ujenzi.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.