• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

“ONGEZENI KASI YA UJENZI WA VITUO VYA AFYA” – MEYA

Imewekwa: April 23rd, 2018

Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Bw. Mustapha Seleboss ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Uongozi ya Jiji, amewataka mafundi wanaojenga na wataalam wanaosimamaia ujenzi kwenye vituo vya afya kuongeza kasi ili kumaliza miradi hiyo ndani ya wakati. Mstahiki Meya, aliyasema hayo leo akiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyofanywa na kamati hiyo jijini humo.

Mstahiki Meya aliongeza kwa kusema ya kwamba, kama ikiwezekana mafundi kufanya kazi hadi usiku, halmashauri tupo tayari kuwawekea taa ili kazi iendelee na kukamilika kutokana na maelekezo ya serikali kuu. “Nawaomba sana tuongeze kasi kwenye kujenga miradi hii ili tumalize kwa wakati kama ilivyoelekezwa na serikali kuu” alisema.

Pamoja na msisitizo wa kumaliza kazi ndani ya muda, kamati hiyo imewakumbusha wataalam kujipanga kuongeza miundo mbinu ya umeme, maji safi na maji taka kwani matumizi ya huduma hizo yataongezeka baada ya kukamilika na kuanza kutumika kwa majengo hayo. Aidha, kamati hiyo iliwataka wajumbe wa Kamati za Manunuzi na Mapokezi kwa kila mradi ambazo ndizo zinazosimamia shughuli za ujenzi, kuendelea kuwa karibu na miradi hiyo kwa kuhakikisha wan taarifa ya kila kinachongia, kiwango cha pesa kilichotumika na na hatua aliyofikiwa kwenye eneo la mradi.

Serikali kuu imetoa jumla ya Tsh. Bilioni 1.4 kwa Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa kufanya upanuzi wa vituo vya afya vitatu vya Mikanjuni, Ngamiani na Makorola, upanuzi huo unalenga kujenga majengo yatakayo tumika kama wodi ya watoto, wodi ya wanawake wazazi, vyumba vya upasuaji na vyumba vya kuhifadhia maiti kwenye kila kituo cha afya.

Kamati ya Fedha na Uongozi ni moja ya kamati za kudumu kwenye Halmashauri ya Jiji la Tanga, pamoja na majukumu yake mengi, moja ya majukumu yake ni kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na halmashauri. Kamati hii inaongozwa na Mstahiki Meya ikiwa na wajumbe tisa. Kwenye ziara hii kamati hiyo ilitembelea na kukagua jumla ya miradi nane, ikiwemo Kituo cha Afya Mikanjuni, Kituo cha Afya Makorora, Kituo cha Afya Ngamiani, Shule ya Msingi Bombo, Shule ya Sekondari ya Mkwakwani na Shule ya Msingi Kiomoni


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.