• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MWENGE WA UHURU KUGUSA MIRADI YA BILLION 3 WILAYA YA TANGA.

Imewekwa: July 20th, 2025

Juni 13, 2025.

Mwenge wa Uhuru 2025 unatarajiwa kupokelewa Wilayani Tanga siku ya Jumatatu, Juni 16, 2025, katika uwanja wa shule ya msingi Mabambani, iliyopo mtaa wa Mpirani, kata ya Chongoleani, ukitokea Wilaya ya Mkinga, na kukimbizwa katika mitaa 43 ya Jiji la Tanga, ambapo utakagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua jumla ya miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya shillingi 3,058,289,671.99


Akitoa taarifa ya ujio wa Mwenge wa Uhuru kwa waandishi wa habari, Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Mhe. Dadi Kolimba, amesema miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru ni ujenzi wa madarasa manne ya ghorofa la chini, matundu 13 ya vyoo na ofisi ya walimu katika shule ya msingi Mbuyuni. Ujenzi wa vyumba viwili  vya madarasa ya awali shule ya msingi Mwakidila.


Miradi mingine ni ufunguzi wa ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Tongoni, ufunguzi wa barabara ya Sahare yenye urefu wa mita 600 iliyojengwa kiwango cha lami, ufunguzi wa jengo la X-Ray kituo cha Afya Makorora, mradi wa ufungaji wa dira za maji za malipo ya kabla, na mradi wa kikundi cha vijana cha kutengeneza gypsum, wakiwa ni wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri.


Mhe. Kolimba amesema shughuli ya mkesha wa Mwenge wa Uhuru itafanyika katika uwanja wa shule ya msingi Kisosora, kata ya Chumbageni, ambapo mabanda ya maonesho na burudani kutoka kwa wasanii waalikwa mbalimbali zitakuwepo, na hivyo amewasihi wakazi wa Tanga kujitokeza kwa wingi katika eneo la mapokezi, njia itakayopita Mwenge wa Uhuru, na katika eneo la mkesha.


Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu inasema, "Jitokeze kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa amani na utulivu"

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

    July 22, 2025
  • LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

    July 20, 2025
  • MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

    July 20, 2025
  • NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI: TANGA JIJI YAJIPANGA KUONYESHA UTEKELEZAJI WA ILANI..

    July 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.