• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MKUU WA WILAYA YA TANGA AKAGUA MIRADI YA JIJI

Imewekwa: July 13th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. Hashim Mgandilwa ameagiza kukamilika kwa miradi yote ya ujenzi inayotekelezwa ndani ya jiji la Tanga hadi kufikia julai 30, mwaka huu.

Ameyatoa maagizo hayo Jumanne Julai 12, 2022, katika siku ya pili ya ziara ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Tanga ya kukagua utekelezaji wa miradi na kujua changamoto zinazochelewesha ukamilishaji wa miradi, ambapo ameonyesha kutokuridhishwa na utendaji wa baadhi ya mafundi (local fundi) wanaofanya kazi kwa utaratibu wa "force account".


Mheshimiwa Mgandilwa ameagiza kupunguzwa kwa idadi ya miradi kwa fundi wenye miradi zaidi ya mitatu katika maeneo tofauti, na kupewa fundi wengine, ili kuwezesha miradi hiyo kwenda haraka badala ya kujaza kazi kwa fundi mmoja, ambapo imeonyesha kutoleta tija kwa miradi.

"Kwanza naipongeza Halmashauri, Madiwani, Mbunge na Mkurugenzi kwa upelekaji mzuri wa fedha nyingi sana katika miradi. Sasa fedha zipo, na tuna miradi mingi. Natamani kuona miradi inakamilika, tufanye miradi mingine" amesema Mheshimiwa Mgandilwa.


Katika ziara hiyo ya siku tatu, Kamati ya Ulinzi na Usalama inayoongozwa na Mkuu wa Wilaya inatembelea na kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambapo katika siku yake ya pili ilianzia shule ya Msingi Kombezi iliyopo kata ya Makorola, na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya darasa na ofisi vinavyojengwa kwa fedha za mradi wa GPE - LANES kiasi cha shillingi million 40.

Akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Mwl. Paulina Nyagawa amesema shule hiyo ina wanafunzi 794 na kila darasa lina mkondo mmoja - mmoja hivyo upatikanaji wa vyumba hivyo vya madarasa vitawezesha wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili kugawanywa katika mikondo ya miwili.

"Ndugu Mgeni Rasmi, mpaka sasa tumeshatumia shilling million 32,922,775 na tumebakiwa na shillingi 7,077,225 kwenye akaunti ikiwemo hela ya fundi shillingi 2,986,475 kumkamilishia gharama zake za ufundi, na tutabaki na shillingi 4,090,750 ambayo tunaomba kununua madawati 16 na viti 10 meza za walimu 15 na kabati dogo" ameongeza Mwalimu Nyagawa.


Ziara hiyo  iliyowahusisha baadhi ya wakuu wa idara za Halmashauri, ilipita katika miradi tisa ambapo kati yake, miradi minne ikiwa ni ya elimu, afya ni miradi mitatu na miradi miwili ni ujenzi wa nyumba za watumishi.

Ziara ya Kamati ya Ulinzi na Usalama inatarajiwa kuhitimishwa siku ya jumatano, na siku ya alhamisi kamati hiyo inategemewa kuungana na wakazi wa mtaa wa Geza, kata ya Marungu katika zoezi la uchimbaji wa msingi wa ujenzi wa Zahanati.

Labani.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.