• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MKUU WA WILAYA AONGOZA KIKAO TATHMINI YA LISHE

Imewekwa: May 11th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Mhe. Hashim Mgandilwa, leo Jumatano, Mei 10, 2023, ameongoza kikao cha tathmini ya Mkataba wa Lishe, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jengo la Ofisi Kuu ya Halmashauri ya Jiji la Tanga, chenye lengo la kupokea na kupitia utekelezaji wa Tathmini ya Hali ya Lishe kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2022/2023.


Akifungua kikao hicho, Mhe. Mgandilwa amewataka wajumbe wa kikao hicho kufahamu kuwa lishe ndio msingi wa kila kitu, na kwamba kikao hicho ni muhimu katika uboreshaji wa lishe katika jamii, ili kuondokana na udumavu.


Mgandilwa amewataka Maafisa Watendaji wa Kata kuyatekeleza yanayoamuliwa katika vikao, na kutumia vikao na mikutano katika maeneo yao kwa kutoa elimu, ikiwa ni pamoja na kuwaalika Maafisa Lishe katika Kata zao, ili jamii ifahamu umuhimu wa lishe bora, hususan siku 1000 za mwanzo za mtoto, na kuondokana na fikra potofu za lishe bora ni chakula cha "mboga saba".


Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Dkt. Sipora Liana amewataka Watendaji wa Kata kuhakikisha wanafanya ufuatiliaji wa afua za lishe, ili kujiepusha na kutia doa hatua nzuri ya hali ya lishe katika Jiji la Tanga.


Awali, Kaimu Afisa Lishe Jiji la Tanga, Ally Kassembo, aliwasilisha taarifa ya utekelezaji ya tathmini ya Lishe katika robo ya tatu (Januari - Machi) kwa mwaka wa fedha 2022/2023, ambapo katika taarifa hiyo, amevitaja vituo vya afya vya Ngamiani, Mikanjuni, Duga, Makorora, Pongwe na Hospital ya Wilaya kuendelea kutoa matibabu ya utapiamlo ya asili (local treatment) kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano.


Kikao hicho cha tathmini ya Mkataba wa lishe, kimehudhuriwa na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo vya Halmashauri, Maafisa Watendaji Kata na wadau wengine wa lishe katika Jiji la Tanga.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.