• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MKURUGENZI AAGIZA KUONDOLEWA MTENDAJI KATA KWA KUSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAKE.

Imewekwa: December 1st, 2023

November 20, 2023.

Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Ndg. Said Majaliwa amewataka Watendaji ngazi ya Kata na Mitaa katika jiji la Tanga, kuhakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao, kusikiliza kero za wananchi na kukusanya mapato ya Serikali, huku akitoa onyo kwa wale wanaochelewa kufika kazini.


Mkurugenzi Majaliwa ameyasema hayo wakati alipokuwa akiongea na Watendaji wa Serikali katika Kata za Kirare na Marungu, ikiwa ni muendelezo wa utaratibu aliojiwekea wa kupita katika Kata zote za Jiji la Tanga, ili kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wakazi na watumishi wa maeneo hayo.


Mkurugenzi Majaliwa ametumia vikao hivyo kusisitiza watumishi kufanya kazi kwa pamoja (team work), kwa kushirikisha Idara na sekta zingine ili kukamilisha mradi kwa wakati, huku akiwataka watendaji hao, kutomficha  mtu anayekwamisha utekelezaji wa miradi kwani hayuko tayari kumvumilia mtu mzembe.


Akizungumzia usikilizaji wa kero za wananchi, Majaliwa amewataka Watendaji wa Kata kuwa na daftari la kuorodhesha kero walizosikiliza na utatuzi waliochukua, na kujenga utaratibu wa kupita katika shule na vituo vya kutolea huduma za afya kufuatilia iwapo watumishi wa umma katika eneo hilo wanawahi na kusalia katika maeneo yao ya kazi kuwahudumia wananchi.


Akiwa katika Kata ya Marungu, Majaliwa ameonyesha kutokufurahishwa na taarifa za uwepo wa fedha katika akaunti ya Kata, huku utekelezaji wa miradi ukiwa ni wa kusuasua, na hivyo kumuagiza Afisa Utumishi kumuondoa Mtendaji wa Kata ya Marungu kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.

Maagizo hayo ni baada ya kukuta zaid ya Mil 40 za ujenzi wa madarasa 2 na ofisi zikiwa katika akaunti ya kata tangu 28.6.2023, na kuonya kuwa iwapo atakuta fedha kwenye akaunti ya mradi zimekaa bila maelezo, atachukua hatua kwa mhusika.


Mkurugenzi Majaliwa amesisitiza suala la ukusanyaji wa mapato ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa leseni za biashara kwenye mitaa, na kuhimiza usafi wa mazingira kwenye maeneo ya makazi.4

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.