• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Rais Mstaafu Mhe. Kikwete aweka jiwe la msingi katika taasisi ya Maawal Islamic

Imewekwa: August 26th, 2019

Rais mstaafu wa awamu ya nne Mhe .Jakaya  Mrisho  Kikwete amepongezaTaasisi  ya Maawal  Islamic kwa mchango wao wa kusaidia sekta ya elimu mkoani tanga hasa kwa watoto wa kike kwa kuwajengea bweni ili kuweza kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujifunza

Ameyasema hayo siku ya jumapili alipokuwa akiweka jiwe la msingi la uzinduzi wa bweni kwa ajili ya watoto wa kike katika shule ya sekondari Maawal  Islamic iliyopo jijini hapa

Ameongeza kuwa Lengo kubwa la kuanzisha  Taasisi hiyo ni kufundisha  dini ya kiislamu katika jiji hili na jambo jingine na kufanya  mambo muhimu yanayohusu  kijamii na kupinga dhana ya kusema waislamu hawajali elimu ya mtoto wa kike.

“Hili ni jambo la  furaha kwa sababu kumekuwepo na dhana kwamba sisi waislamu hatujali elimu ya mtoto wa kike leo watoto wa kike wemgi wanasoma na walimu wetu wanasaidia kututengenezea mawaziri wa baadae”Amesema mhe kikwete.

Mkuu wa mkoa wa tanga  Martine  Shigela   amesema Mkoa wa Tanga ni  moja kati ya Mikoa ambao umepata mafanikio makubwa katika Sekta mbalimbali ikiwemo Ufya ,ujenzi na katika sekta ya  Elimu na mambo mbalimbali .

Amesema  mafanikio yote hayo ni matokeo ya kazi nzuri  anayoifanya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkr  John Pombe   Magufuri pamoja na msingi mzuri aliouanzia Rais wa awamu ya nne Mhe  Jakaya  Mrisho Kikwete .

“sisi kama wasaidizi wa rais hatuna budi kuendeleza haya yote uliyoyaanzisha lakini pia tunashukuru mafanikio katika sekta ya elimu kazi nzuri uliyoianzisha ya ujenzi wa shule ya sekondari kila kata lakini awamu ya tano inatekeleza na kuhakikisha inatoa elimu bure “Amesema Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine  Shigela 

 Kiongozi wa taasisi hiyo  shekh Mohamed Hariri   ambae ni Mkuu  wa Taasisi hiyo ya Maawal  Islamic  amesema kituo hicho kitawasaidia wanafunzi hao kuepuka mambo mbalimbali ambayo ni mabaya yanayoweza kujitokeza juu yao

Taasisi  ya Maawal  Islamic  ni moja kati ya Taasisi ambazo zinatoa mafunzo kwa wanafunzi  wa kike na wakiume kikiwa na lengo la kutoa  mafunzo ya dini ya kiislamu pamoja na mafunzo ya kusaidia jamii kinachopatikana Jijini Tanga


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.