• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MAHITAJI YA WAFANYAKAZI YAMEANZA KUFANYIWA KAZI - DC TANGA

Imewekwa: May 1st, 2018

Viongozi, Wafanyakazi na wananchi mbalimbali wa Mkoa wa Tanga, leo wamejumuika kwenye uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga kusherehekea sikukuu ya wafanyakazi duniani, Mei Mosi.

Kama ilivyo kawaida wa sherehe hizo, huwa na michezo mbalimbali ambapo washindi wa michezo hiyo pamoja na wafanyakazi hodaria kutoka kwenye taasisi mbalimbali walipewa zawadi na mgeni rasmi, ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga (DC TANGA) kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga.

Kabla ya kutoa zawadi hizo kwa washindi, ilisomwa risala ya shirikisho la wafanyakazi Tanzania, (TUCTA ) kwa mgeni rasmi ambayo ndani yake kulikuwa na hoja zilizohusu masuala ya mahitaji na maboresho ya maslai ya wafanyakazi.

Akitolea maelezo baadhi ya hoja zilizowasilishwa kwenye risala hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Mhe. Thobias Mwilapya, alianza kwa kuwashukuru wafanyakazi kwa pongezi nyingi walizompa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufi. Mgeni rasmi huyo aliwaahakikishia wafanyakazi ya kwamba serikali inafahamu mahitaji ya wafanyakazi wake na imeanza kuyafanyia kazi.

“Nia ya serikali ya kupungiza makato ya mshahara wa mfanyakazi hadi kufikia single digit bado ipo, kwa sasa wafanyakazi wanaopata mshahara chini ya laki saba, wameanza kupata punguzo hilo, kwa maana wanakatwa 9% kama kodi." Alisema mkuu huyo akitolea maelezo hoja ya kodi kubwa wanaokatwa watumishi kwenye mishahara yao.

Akizungumzia suala la wafanyakazi kuanzisha matawi ya vyama vya wafanyakazi kwenye maeneo yao ya kazi, Mhe Mwilapya alisema kwamba hii ni haki ya wafanyakazi na ipo kisheria. "Ni marufuku muajiri kumzuia mfanyakazi kujiunga kwenye chama cha wafanyakazi ama kuanzishwa kwa tawi wa chama cha wafanyakazi maana wafanyakazi wana haki ya kufanya hivyo" alisema Mhe Mwilapya. Sambaba na hili, alisisitiza waajiri wote kuwasilisha michango yao kwenye mfuko wa fidia wa wafanyakazi kama inavyosemwa kwenye sheria.

Katika nasaha zake kwa wafanyakazi, Mhe Mwilapya aliwaasa wafanyakazi kuwa na maadili mema na hatarajii kuona wala kusikia mfanyakazi anajihusisha na matendo yasiyo kuwa ya maadili, kama kujihusisha na magendo, kufanya biashara haramu na ubadhulifu wowote.

Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi huwa zinasherehekea duniani kote siku ya tarehe moja ya mwezi wa tano kila mwaka. Kitaifa sherehe hizi zilifanyika Manispaa ya Iringa ambapo Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania alikuwa mgeni rasmi.

Pata hotuba ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania alipokuwa Iringa kwenye sherehe za Mei Mosi 2018 kitaifa

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.