• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Wanafunzi wa Shule Shikizi Mkurumunzi kunufaika na Utekelezaji wa ahadi ya Mhe.Ummy Mwalimu

Imewekwa: April 25th, 2021

Mbunge wa Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu ambaye pia ni Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI leo  ametoa mabati 142 yenye thamani ya Shilingi 4,828,000/= aliyoahidi wakati wa kampeni kwa ajili ya ujenzi wa shule shikizi Mkurumuzi  Kange Kata ya  Maweni.


Mhe. Ummy Mwalimu  amekabidhi mabati hayo mbele  ya Mkurugenzi wa Jiji la Tanga ndugu Daudi Mayeji na viongozi wengine wa kata na mtaa wa Kange.


Mhe Ummy ameeleza kuwa katika mwezi huu April 2021, tayari Rais Samia ameleta shilingi milioni 660 kwa ajili ya kujenga madarasa na vyoo katika Shule za Msingi za Msala, Mapambano, Kasera, Jaje na Bombo na Shule za Sekondari za Kirare,Macechu,Mikanjuni, Mnyanjani na Tongoni pamoja na ujenzi wa bweni la sekondari MACECHU.


Shule ya Msingi Kange ina jumla ya wanafunzi 1,075    kuanzia darasa la awali hadi darasa la Saba. Kwa mwaka 2021 wanafunzi wa awali walioandikishwa ni 88 na darasa la kwanza ni 162. Baadhi ya wanafunzi wanatembea umbali mrefu zaidi ya km 3 hivyo kusababisha mahudhurio ya wanafunzi kuwa hafifu, Usalama mdogo wa wanafunzi hasa wa awali na darasa la kwanza.


Aidha mhe Ummy ametumia mkutano huo kuwashukuru wananchi wa Kange na Maweni kwa ujumla kwa kumchagua yeye kuwa mbunge wa Jimbo la Tanga, na mhe. Colyvas kuwa diwani wa kata ya Maweni  na Mhe Dkt John Pombe Magufuli aliekuwa Rais wa awamu wa 5 ambae Mungu amempenda zaidi .Mhe Ummy ameeleza kuwa sasa Rais Samia ameshika usukani wa nchi na hivyo hatuna budi kumuombea na kumuunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yake.


Baadhi ya wananchi walimpongeza Mhe mbunge kwa kutekeleza ahadi zake ambazo aliziahidi kwa wana Tanga Mjini. Pia kwa kuteuliwa kuwa Waziri Wa Tamisemi.

Jengo la Shule Shikizi ya Mkurumunzi.

Mje.Ummy Mwalimu akiwa kwenye Kikao na Wananchi wakati wa makabidhiano ya Vifaa hivyo.

Mhe.Ummy Mwalimu akikabidhi Mabati hayo.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.