• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MBUGANI WAPONGEZWA UJENZI WA SHULE

Imewekwa: July 19th, 2024

Na. Mussa Labani, Tanga.

Julai 18, 2024.

Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Jiji la Tanga, imewapongeza wakazi wa Mtaa wa Mbugani, Kata ya Masiwani kwa kutoa ekari 16 kwa huduma za jamii, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Shule ya Msingi katika eneo hilo.


Pongezi hizo zimetolewa leo, alhamisi Julai 18, 2024, na Kamati hiyo ilipotembelea shule ya msingi Mbugani, iliyojengwa kwa msaada wa taasisi ya Islamic Help, wakati kamati ilipokuwa katika ziara yake ya kawaida ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa robo ya nne  ya mwaka wa fedha wa 2023/2024.


Kamati pia imempongeza Diwani wa Kata ya Masiwani, Mhe. Longson David Njau, Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi ya Kata, na wafadhili waliosaidia ujenzi wa shule hiyo ya msingi, Taasisi ya Islamic Help, ambayo imesaidia ujenzi wa vyumba saba vya madarasa, matundu sita ya vyoo, jengo la utawala, na kisima cha maji.


Akiongea kwa niaba ya Kamati, Mwenyekiti wa Kamati, ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Mhe. Abdulrahman Shiloow, ameitaka Halmashauri kuhakikisha inakamilisha usajili wa shule, uwekaji wa samani (madawati, viti na meza), pamoja na mgao wa walimu ili ifikapo Januari 2025, shule ianze kufanya kazi.


Kwa upande wao wakazi wa mtaa huo, wameiomba Kamati ya Fedha na Uongozi kuwasaidia kupata barabara ya kufika shuleni hapo ili watoto watakapoanza shule, wasipate shida ya jinsi ya kufika.


Mbali na kutembelea shule hiyo, Kamati pia ilitembelea na kukagua mazingira ya vituo vya kulelea watoto/malezi ya watoto wadogo (Day Care Centre), pamoja na Kituo cha Afya Mafuriko (Kihongwe Hospital), ambapo Kamati iliitaka Halmashauri kuangalia namna ya kukamilisha jengo la huduma ya mama na mtoto.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.