• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Mwenge wa Uhuru 2019 watua Tanga jiji

Imewekwa: July 7th, 2019

Baada ya Mwenge wa Uhuru kuwasili katika Halmashauri ya Jiji la Tanga ukitokea wilayani Pangani.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Ally amezindua Mardi wa Maji uliopo Kata ya Kirare -Tundaua baada ya kuridhishwa na ukaguzi wa nyaraka zote muhimu zinazohusu mradi huo pamoja na kuhoji wananchi kuhusu upatikanaji wa maji safi .

Mradi huu wenye gharama  ya zaidi ya Tsh Mil.800 ambao utahudumia wananchi wa Mwalongo,Mapojoni na Kirare.

Kiongozi  wa mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Mzee Mkongea Ali amezindua mradi wa kituo cha Afya Duga Jijini Tanga baada ya kuridhishwa na ujenzi unaoendelea kituoni hapo .

Awali akisoma taarifa kwa Mkimbiza Mwenge wa Uhuru  Dr Magreth Matutu amesema Mradi huo Umegharimu kiasi cha Shilingi Mil700 ambazo ni fedha za Ruzuku kutoka Serikali kuu na Shilingi Mil 500 zimetumika katika upanuzi wa kituo hicho cha Afya na Mil 200 zitatumika  katika ununuzi wa visa Tiba.

Pia katika mbio hizo za Mwenge wa Uhuru Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto Mh Ummy Mwalimu amesema kituo cha Afya Duga ni moja ya vitro vitano vinavyoendelea kujengwa ndani ya Halmashauri ya Jiji la Tanga katika kuhakikisha Mwananchi wanapata huduma bora za Afya.

Wakati huohuo kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa  Ndugu Mzee Mkongea Ali ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Tanga  kwa matumizi matumizi ya Mapato ya ndani katika utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa haleta kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa Mradi kiwanda cha ushonaji kwa kikundi cha vijana (TAYOTAI) Wenye umri kuanzia miaka  15-35.

Vijana hao wamesema kuwa Halmashauri ya Jiji la Tanga imewapatia mkopo wa Mil.60 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa pamoja na mtaji wa kuanzisha biashara.

TAYOTAI pia wameongeza kuwa mari tuo wa ushonaji utawasaidia katika kujipatia kipato na kutekeleza kauli mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ya kujenga Tanzania ya viwanda.

Pia Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii ,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa maendeleo yaliyopo ndani ya Jiji la Tanga ni kwa jailli ya Mwananchi hivyo ni vyema wazazi wakatumia fursa zilizopo ikiwemo kuwapeleka watoto katika kikundi hicho cha vijana ili nao waweze kujifunza na kujitengenezea kipato.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.