• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Mamlaka ya Hali ya Hewa imetakiwa kutoa elimu kwa Wakulima na Wavuvi

Imewekwa: July 3rd, 2019

Mamlaka ya Hali ya Hewa jijini Tanga imetakiwa kutoa Elimu kwa  wakulima na wavuvi  kwani ni muhimu katika shuguli zao  na kwa kufanya hivyo watainua uchumi wa Taifa  na kuongeza mchango mkubwa katika Sekta ya Uvuvi.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa jiji la Tanga  Daudi Mayeji  alipokutana na wavuvi na wakulima katika kikao kilichoandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa TMA katika ukumbi wa Bandari  jijini hapa.

Mayeji amesema kawa huwezi kuingia katika uchumi wa kati  kama wananchi wako hawana Afya nzuri hivyo kwa sehemu kubwa Watanzania walio wengi  hivi sasa wanakimbia kula nyaga na badala yak wanakula samaki kwani samaki ni chakula ambacho hakina madhara hivyo kutokana na hilo   wakiweza kuvua vizuri  kwa kuzingatia taarifa watakazokuwa wanazipata na zinawaruhusu wavuvi kuvua vizuri wataweza kuongeza afya  na kuingia kwenye uchumi wa kati wakiwa na Afya njema.

"Kama jamii itakuwa na maisha ambayo si ya uhakika wakienda kuvua wanapata ajali,Uchafu wa Hali ya hewa au kupoteza maisha  wakati wananchi hao wangeweza kuwa na mchango mkubwa kwenye uchumi wa kati maana yake ni kwamba ustawi wa jamii utaathirika"Ameyasema halo Mayeji.

Wakati huohuo Halmashauri ya jiji la Tanga imepokea vifaa kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya  vyenye thamani ya Shilingi Millioni 14 kutoka kwa kikundi cha watu zaidi ya 100 wakiwemo wa Nje ya Nchi wakishirikiana na kampuni ya Huawei.

Akikabidhiwa vifaa hivyo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Tanga,Katibu tawala wa Wilaya Faidha Salimu amesema ni vyema kukawa na ushirikiano mzuri kwa ajili ya kufuata utaratibu wa Serikali.

Kwa upende wake Mkurugenzi wa jiji la Tanga Daudi Mayeji amesema Serikali inapokea misaada yote hasa isiyo na masharti na vifaa hivyo vitatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa. 

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.