• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MADIWANI JIJI LA TANGA WAPIGA KURA KUPITISHA RASIMU SHERIA NDOGO.

Imewekwa: July 13th, 2024

Na. Mussa Labani, Tanga.

Juni 27, 2024.

Mkutano maalum wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Tanga, ulioongozwa na Mwenyekiti wake, Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga, Mhe. Abdulrahman Shiloow, umepitisha Rasimu ya Sheria ndogo za Halmashauri ya Jiji la Tanga za mwaka 2024, baada ya kuzijadili na kutoa mapendekezo ya maboresho kwa rasimu hiyo, ambapo zitakapo kamilika, zitafuta sheria ndogo zinazotumika sasa za mwaka 2014 na 2019.


Akifungua mkutano huo, Mstahiki Shiloow amesema, rasimu hiyo ni nyongeza ya vitu vidogo vidogo vilivyoongezwa kwenye sheria zinazotumika sasa, ambapo maboresho hayo yamefanywa ili kuendana na wakati, kuwezesha Halmashauri kutimiza wajibu wake wa kuihudumia jamii.


Akiwasilisha rasimu hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Kaimu Mwanasheria wa Jiji la Tanga, Idrisa Mbondera, amesema utungaji wa sheria ndogo hizo umefuata utaratibu wa kisheria kama ulivyoainishwa kwenye kifungu cha 90 cha Sheria za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288.


Amesema mchakato huo umepita katika hatua mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutolewa kwa tangazo la kusudio la kutungwa sheria ndogo ili wananchi na wadau waweze kutoa maoni au pingamizi.

Rasimu hiyo pia imepita katika vikao vya maendeleo vya kata (WDC), na kujadiliwa katika vikao mbalimbali vya Halmashauri.


Jumla ya sheria ndogo tisa ziliwasilishwa ambazo ni Sheria ndogo za ada na ushuru, sheria ndogo za ada za burudani, sheria ndogo za ushuru wa mazao ya uvuvi, sheria ndogo za ushuru wa nyumba za kulala wageni, sheria ndogo za ushuru wa masoko, minada na magulio, sheria ndogo ya Afya, udhibiti wa taka ngumu na mazingira, na sheria ndogo ya ushuru wa huduma.


Sheria ndogo nyingine ni ya ushuru wa maegesho na vituo vya mabasi, na sheria ndogo ya ada ya leseni ya shughuli za biashara.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.