• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 61 YA UHURU

Imewekwa: December 9th, 2022

Katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi, Jamii wilayani Tanga, Imetakiwa kupanda miti katika maeneo mbalimbali kama Shule, hospital na vyanzo vya maji ili kutunza mazingira.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wilaya ya Tanga Mikaya Dalmia wakati wa zoezi la upandaji miti katika Zahanati ya kisimatui kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Uhuru wa miaka 61 ya Tanzania Bara.


Katibu Tawala amesema wameona ni vyema katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Uhuru, kufanya shughuli za kijamii kwa kutunza mazingira kwenye Zahanati ya Kisimatui kwa kupanda Miti, Usafi wa Mazingira ili kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia ya nchi.

Dalmia ameongeza kuwa upandaji wa Miti katika zahanati hiyo itawasaidia Zaidi wagonjwa wanaofika kupata huduma za kiafya kupumzika katika maeneo hayo .

Pia amesema Utunzaji wa Mazingira ni jukumu la kila mwananchi katika kuhakikisha wanatunza kwa kupanda miti, usafi wa mazingira ambapo itasaidia hata vyanzo vya maji katika matumizi mbalimbali ya kibinadamu pamoja na uzalishaji wa kiuchumi.

Aidha amesema wananchi wamekuwa mstari wa mbele katika utunzaji wa mazingira ambapo viwanda mbalimbali kama Saruji vimepanda miti ya kutosha hali inayoonesha mkoa wa Tanga ni Kinara katika utunzaji wa mazingira.

Pia Katibu Tawala amewasisitiza wananchi kupitia Afisa Mazingira Jiji la Tanga kutoa miche ya bure itakayowawezesha kupanda katika maeneo yao lengo likiwa ni kuhakikisha wanatunza mazingira kwa ajili ya Taifa la baadae na sasa.

Nae Afisa Misitu Jiji la Tanga Maajabu Mohammed amesema baada ya zoezi la upandaji Miti katika eneo la zahanati ya Kisimatui, kila mwananchi ataondoka na miche itayowawezesha kupanda katika makazi yao huku akiwasisitiza kuilinda ili iweze kuleta tija hapo baadae.

Kwa upande wake Afisa Maliasili Jiji la Tanga Aneny Nyirenda amewahimiza wananchi kupanda Miti na shughuli nyingine za Mazingira pamoja na Afya kama ufanyaji wa mazoezi  ili kubeba taswira ya uhuru katika Taifa

Kwa Upande wao wananchi wa Mgwisha pamoja na Kisimatui wakaishukuru serikali kwa ugawaji wa miche hiyo huku wakiahidi kuitunza ili iwaletee manufaa hapo baadae.

 

 

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.