• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Kompyuta 20 zatolewa kwa shule 10 Tanga ili kurahisisha kazi

Imewekwa: January 9th, 2020

Waziri wa Afya ,Maendeleo ya jamii ,Jinsia ,Wazee na Watoto ambae pia ni Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Tanga Ummy Mwalimu ametoa kompyuta 20 kwa shule za sekondari 10 zilizopo Jiji hapa  kwaajili ya kurahisisha baadhi ya kazi katika shule hizo ambazo zilikuwa na changamoto ya vifaa hivyo.

Zoezi hilo limefanyika katika shule ya Sekondari Mkwakwani ambapo Walimu Sakuu wa Shule hizo kumi za Sekondari ambazo ni Mkwakwani ,Chongoleani ,Mnyanjani,Kihere  ,Maweni,Mikanjuni,Mwapachu,Ndaoya  ,Nguvumali na Tongoni wamekutana  kwaajili  ya  kupokea  kompyuta  hizo.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya  kompyuta hizo katika Shule ya Sekondari ya  Mkwakwani Afisa Elimu Sekondari Jiji la Tanga Lusajo Gwakisa amesema kupewa kwa kompyuta hizo kutasaidia utendaji kazi mzuri .

“Tukio ambalo Waziri  unalifanya  kwa Muda huu sio kama litaenda kupunguza uhaba wa kompyuta tu  ila italeta maendeleo kama utayarishaji wa bajeti katika Shule utaimarika ,pamoja na usajili kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza utaenda kwa haraka “,.Alisema Afisa Elimu Sekondari Lusajo Gwakisa

Nae Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji amesema atahakikisha  wanafunzi 1862 waliofaulu wanapata nafasi hata ikiwa kwa kupishana kulingana na madarasa yaliyopo .

Kwa upande wake  Waziri  wa  Afya ,Maendeleo  ya  jamii ,Jinsia  ,Wazee  na Watoto  ambae pia ni   Mbunge  wa  viti  maalum Mkoa  wa  Tanga  Ummy  Mwalimu  amesema anaimani kompyuta hizo zitatumika vizuri kwani anaimani na Shule hizo.

“Mhe Raisi Dkt Magufuli amewekeza katika maeneo ya Elimu ,Afya na takribani karibu milioni tisini kila mwezi Serikali kuu inaleta kwaajili ya Elimu bure  Tanga kwaiyo mimi katika nafasi yangu ntaendelea kuwasemea walimu wa Tanga “,.Alisema Ummy Mwalimu    Waziri  wa  Afya ,Maendeleo  ya  jamii ,Jinsia  ,Wazee  na Watoto

Sambamba na kutoa kompyuta hizo Waziri Ummy pia aliweza kutembelea kituo cha ushonaji cha Tayotai na kutoa pesa kwaajili ya kuendeleza kikundi hicho na kufahamu maendeleo yake.

 

Waziri  wa  Afya ,Maendeleo  ya  jamii ,Jinsia  ,Wazee  na Watoto  Ummy Mwalimu akiwa katoka shule ya Mkwakwani alikokabidhi kompyuta 20 kwa Shule 10 za Sekondari.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.