• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA APONGEZA MIRADI YA ELIMU, ATOA ZAWADI KWA WALIMU.

Imewekwa: July 20th, 2025

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa mwaka huu, 2025, Bw. Ismail Ali Ussi, amepongeza miradi ya elimu iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru 2025 katika wilaya ya Tanga, wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru, zilizofanyika Jumatatu ya Juni 16, 2025, akisema ni ya mfano wa kuigwa na Halmashauri zingine.


Bwana Ussi amesema katika uongozi wa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, maboresho makubwa yamefanyika katika miundombinu ya kufundishia na kujifunzia, ambapo sasa mazingira yamekuwa bora, akitolea mfano wa miaka 15 iliyopita, baadhi ya maeneo watoto walikaa chini na kushindwa kujifunza vizuri.


Katika mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu, miradi miwili ya elimu awali na msingi ilipitiwa na Mwenge wa Uhuru, ambapo mradi wa kwanza ulikuwa ni uwekaji wa jiwe la msingi katika ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa ya ghorofa kwa jengo la chini, ofisi moja ya walimu pamoja na matundu 13 ya vyoo katika shule ya Msingi Mbuyuni, iliyopo kata ya Nguvumali, mradi unaogharimu kiasi cha TZS. 388,769,596.80 ikiwa ni fedha za mapato ya ndani.


Mradi wa pili ukiwa ni mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya

madarasa ya awali, matundu ya vyoo sita na uzio unaogharimu kiasi cha TZS 70,100,000.00 katika shule ya Msingi Mwakidila, iliyopo kata ya Tangasisi, ikiwa ni fedha za mradi wa Boost.


Akiwa katika shule ya Msingi Mwakidila, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru aliguswa na ubora wa mradi na shangwe la walimu wa shule hiyo ambao walipendeza kwa sare huku wakiimba nyimbo za kufurahia Mwenge wa Uhuru kuzindua mradi wao, jambo lililomfanya kiongozi huyo kutoa zawadi ya fedha taslimu kwa walimu hao.


Mwenge wa Uhuru 2025, unakimbizwa na kauli mbiu isemayo “Jitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu’’

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

    July 22, 2025
  • LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

    July 20, 2025
  • MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

    July 20, 2025
  • NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI: TANGA JIJI YAJIPANGA KUONYESHA UTEKELEZAJI WA ILANI..

    July 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.